Njoo tuwasifu wapenzi wetu kwa Mitindo huru/freestyle.

Naanza kukupa sifa,
mtoto mzuri miss chagga,
Wanga mnashoboka,
kwangu ndo umefika.

mrembo unapenda pesa,
Ila kwangu ubanduki.

Nakumudu kila sekta,
manjonjo yako mie hoi.

Nakupa bahari malkia,
na Vito vyote asilia.
 

Close your eyes. ... gimme your hand darling
Do you see my heart beating, do you understand
Do you feel the same am I only dreaming
Is this burning an eternal flame....

Say my name sunshine.........

I love singing while hugging you. ...
Hugging you so tight, feeling your heartbeats close to mine....
I'll sing for you in the morning, in the afternoon, in the evening and at night.....

You know what..... you draw a smile on my face....
The smile you see on my avatar....
And I love it..... Muah! !
 
Am the reason,
she been good all the season

Making her feel comfortable,
Admitted am unforgettable.

Memories all back,
Even though we're apart.

That last words i do remember
Though am not good story teller
 


Hapo wewe unataka kesi na wizara ya maliasili. Vito asilia? ?
 

We mtu wa kukariri,
Hujui chana mistari,
Umekaa kisharirishari,
Si kama Wema bali Zari....

Kasinde wangu mwandani,
Yuko kwangu nyumbani,
Ananipatia ya ndani,
Ya nje ampe nani???

Nilikupa binti atoto
We ukafanya kitoto,
Hata Honey Faith wa moto,
Ukashindwa mpa joto...

Heaven Sent nyama laini
Naye kakupiga chini
geniveros wamtakiani
Wajiingiza hatiani

Nimemaliza kwa leo... Ngoja nikazimue.

Mimi babu ODM si mtu wa kisportsport...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaha haki ya mama wewe sio babu ndio maana Honey Faith anasema upo sekondari

Hapo kwa Heaven Sent unanisingizia bure sijapigwa chini na mama mchungaji ..sema nilikuwa namuimbia nyimbo fulani za Kassim mganga sijui hakunielewa
 
Hahahaha haki ya mama wewe sio babu ndio maana Honey Faith anasema upo sekondari

Hapo kwa Heaven Sent unanisingizia bure sijapigwa chini na mama mchungaji ..sema nilikuwa namuimbia nyimbo fulani za Kassim mganga sijui hakunielewa
Huyo hapendi sana sauti ya mdomoni...

siku nyingine ukiwa unamuimbia Heaven Sent hakikisha una coins mkono wa kulia na noti nyekundu mkono wa kushoto... Unaimba huku unadodosha coin moja baada ya nyingine... Ile sauti ya coin iliyodondoka ye anaisikia kama gitaa la Diblo Dibala.. akiona tena na mwekundu mkononi wimbo unakuwa mtamu kama wa Kepten Komba wa "CCM mbele kwa mbele"

Hakika utapata kura yake...

Na hili ndilo neno na Babu...
 
Hahahahaha dah haya babu asante
 

Abee babu ODM, babu Big Sam originale....
 
Hhahahahahahaa babu weeweee kwani si ulishasema wewe unashughulikia mdomo wa chini na Yamakagashi ashughulikie mdomo wa juu?, na ukasema nyie ni dugu moja kisiasa?
I love you Yamakagashi


and you too babu Asprin View attachment 437148
Teh teh ila nashukuru hata emoj zinaonyesha nani anapendwa zaidi Asprin hebu chunguza hizo emoj vizuri

I love u more Kassie....[emoji8]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…