Njoo tuwasifu wapenzi wetu kwa Mitindo huru/freestyle.

Njoo tuwasifu wapenzi wetu kwa Mitindo huru/freestyle.

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
33,894
Reaction score
76,810
Mimi nitaanza na huyu mtoto
Lyn Vivac

Ulijing'ata ukainama
First time tunakutana /

Vitisho, mikwara ya mama
ulisonga hukujali ya jana /

Ukanambia unaitwa L.V
Ukawa mod ndani ya moyo /

Tukapima mpka HIV
Tukala tunda bila choyo /

Leo kwangu wee ni M.P
Doso lako lanikonga nyoyo /

Dear,
Umeniscopion kihisia
kiuweli sioni njia /

Mpini nakuaminia
Wee ni jembe zaidi ya deer/

Pia,
Penzi ni kifungo mfungwa nakitumikia /

Na mpango nikutrump
Jf mpaka maskani /

Nyumban yapigwe madrum
Nikuvishe Pete kiimani /

Tusifanye kiharamu
Tuitangaze hadharani /

....................................
 
[emoji116][emoji116]
Mimi nitaanza na huyu mtoto
Lyn Vivac

Ulijing'ata ukainama
First time tunakutana /

Vitisho, mikwara ya mama
ulisonga hukujali ya jana /

Ukanambia unaitwa L.V
Ukawa mod ndani ya moyo /

Tukapima mpka HIV
Tukala tunda bila choyo /

Leo kwangu wee ni M.P
Doso lako lanikonga nyoyo /

Dear,
Umeniscopion kihisia
kiuweli sioni njia /

Mpini nakuaminia
Wee ni jembe zaidi ya deer/

Pia,
Penzi ni kifungo mfungwa nakitumikia /

Na mpango nikutrump
Jf mpaka maskani /

Nyumban yapigwe madrum
Nikuvishe Pete kiimani /

Tusifanye kiharamu
Tuitangaze hadharani /

....................................
 
Mie wangu Anaitwa Doreen

Beautiful onyinye yees bonge la queen

Ana kale ka baby face mnyamwez sichok kumuangalia

Nsha subscribe kwenye hii thread wacha Nianze kumsifia

The good thing mtoto wala hana drama

Kichwani yupo bright ka Michelle obamaa

Nami sintompa stress kama za wema na idrisa

Lengo ni mvishe pete ya ndoa mbele ya kanisa

I like the way she walk when she on my way

Lips anavyong'ata kidume wala siongei
 
Mie wangu Anaitwa Doreen

Beautiful onyinye yees bonge la queen

Ana kale ka baby face mnyamwez sichok kumuangalia

Nsha subscribe kwenye hii thread wacha Nianze kumsifia

The good thing mtoto wala hana drama

Kichwani yupo bright ka Michelle obamaa

Nami sintompa stress kama za wema na idrisa

Lengo ni mvishe pete ya ndoa mbele ya kanisa

I like the way she walk when she on my way

Lips anavyong'ata kidume wala siongei
Mapenzi ni hatua
Ila yetu yatatusua/

Toka siku nakujua
Kwangu ulijishusha japo wa kishua/

Sikushindwa kukutamkia
Nawe ukanijibu unanipenda pia/

Leo wanakuita LadyAJ
Penzi letu lipo 4G/

Usiniache nakusihii
Wala kunindindindi kama Jay dee /

Sina mchepuko
ona na play smata/

Penzi kwako sio mshiko
Mpaka kasalute binamu STUNTER/

LadyAJ .....
 
Kila nikifikiri mwenzako spati jawabu/
Yale mahaba ulonipa nadhani ndo sababu
...
bila ghadhabu naomba unipe tena na tena/
Oh My God Unanifanya nashindwa kuhema
...
jje's Upendo wako kwangu unathamani/
Nikuvike kidani au vacation twende huko shambani?
...
Its true Nadata ukichuma Tembele /
kokote tutakwenda hata wakipiga kelele
...
wanga wanataka eti usinipende/
Please panda kwa kitanda nataka nimuue mende
 
Mtoto nyuma Mgongo, Mgongo...

Kwa lugha nyingine Mtoto, Tako, Tako...

Ndani mambo Mnato...

Kila nimuonapo...

Mwili wote unasisimka...

Mrembo akinisogelea...

Mkono nausogezea...

Kama vile namnyemelea..

Taratibu HARUFU kama namendea...

Napapasa huku naendelea kumchezea...

Mtoto akiinamisha kichwa chini...

Nikiangalia kile kimini...

Huku nikiendelea kushika Tako lake Laini...

Mtoto kaumbika huwezi amini...

Mrembo kakamilika naishia hapa kwenye Tako Laini...
 
Yuko simple my dear
Japo Hana dimple Ila tako kajaliwa
ME kwake niko speechless
Hata anifanye kuwa spare sio case
 
Kila nikifikiri mwenzako spati jawabu/
Yale mahaba ulonipa nadhani ndo sababu
...
bila ghadhabu naomba unipe tena na tena/
Oh My God Unanifanya nashindwa kuhema
...
jje's Upendo wako kwangu unathamani/
Nikuvike kidani au vacation twende huko shambani?
...
Its true Nadata ukichuma Tembele /
kokote tutakwenda hata wakipiga kelele
...
wanga wanataka eti usinipende/
Please panda kwa kitanda nataka nimuue mende
Hahaha...bro upo vizuri kumbe
 
Back
Top Bottom