Njoo tuwasifu wapenzi wetu kwa Mitindo huru/freestyle.

Njoo tuwasifu wapenzi wetu kwa Mitindo huru/freestyle.

Mimi nitaanza na huyu mtoto
Lyn Vivac

Ulijing'ata ukainama
First time tunakutana /

Vitisho, mikwara ya mama
ulisonga hukujali ya jana /

Ukanambia unaitwa L.V
Ukawa mod ndani ya moyo /

Tukapima mpka HIV
Tukala tunda bila choyo /

Leo kwangu wee ni M.P
Doso lako lanikonga nyoyo /

Dear,
Umeniscopion kihisia
kiuweli sioni njia /

Mpini nakuaminia
Wee ni jembe zaidi ya deer/

Pia,
Penzi ni kifungo mfungwa nakitumikia /

Na mpango nikutrump
Jf mpaka maskani /

Nyumban yapigwe madrum
Nikuvishe Pete kiimani /

Tusifanye kiharamu
Tuitangaze hadharani /

....................................
Nifanyie dedication ya mtoto mmoja hapa nim bembeleze kwa tenzi mpaka utani uishe mwishoni yahamie mapenzi haha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunga mimba bas bby...usyache nitwe goigoi/
Mwezi wa tatu huu bilabila utazan hua sikojoi/ ....

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
Hhhh nakumbaka nilipokuwa napiga misele

Ukanifanye bongo ni steak nikaacha kwenda mbele

Ukanifanya kama road patrol maeneo ya tandale

Nakupa neno juu ya neno kama muhubiri wa kilokole
 
Kila nikifikiri mwenzako spati jawabu/
Yale mahaba ulonipa nadhani ndo sababu
...
bila ghadhabu naomba unipe tena na tena/
Oh My God Unanifanya nashindwa kuhema
...
jje's Upendo wako kwangu unathamani/
Nikuvike kidani au vacation twende huko shambani?
...
Its true Nadata ukichuma Tembele /
kokote tutakwenda hata wakipiga kelele
...
wanga wanataka eti usinipende/
Please panda kwa kitanda nataka nimuue mende
Sasa mimi wacha nichane kwa kudhungu maana naona wote waswahili:

yeah yeah, whut'sup f*ckers & niggerz
This's your real motherf&cker introducin' his diva
But before I spit shit I wanna warn yo ass niggers
My bitch ain't anybody bizz to sucking ua little fingers

In God we're a trustee we don't trust any sucker
ntaendelea....
 
Napenda unavyo nikill me kwenye bed /

Ww ni mzur sio type ya barmaid

Who made you? /

Mana ckumbuki nn nyeto since I met you

I wanna love you baby , I wanna kiss you/

I wanna touch your body, u know I miss u

Ila thanks God kwa kunpa haka karembo /

Toka niwe nae sihitaji tena magendo

Hana scandal kama kina wema sepetu /

Eti hapapatike sababu ya buku buku

Au avue chupi sababu ya chips kuku /


Njoo kwa gia za mkwanja utatoka kapa kapuku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mimi wacha nichane kwa kudhungu maana naona wote waswahili:

yeah yeah, whut'sup f*ckers & niggerz
This's your real motherf&cker introducin' his diva
But before I spit shit I wanna warn yo ass niggers
My bitch ain't anybody bizz to sucking ua little fingers

In God we're a trustee we don't trust any sucker
ntaendelea....
Whos sucker you bitch muthafucka,..!!
 
[emoji3]hivi jamaa mtaani unachana nahisi wewe msanii kama sio wa rap katuni bas singeli...

Umetaja gwanzuuu umenikumbusha mbali... nilishwahi kwenda kuomba visa ya China nikashindwa kulitamka hilo neno
Hahahahaha eti msanii wa kisingeli

Mkuu me ni shabiki tu wala sifanyi rap katuni
Niko happy nilipo kama wazee wa nyeto bafuni

Haha wazee wa kujilipua kwenye ubora wenu ila jaribu tena na tena mkuu mwisho wataachia tu.

form1


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha eti msanii wa kisingeli

Mkuu me ni shabiki tu wala sifanyi rap katuni
Niko happy nilipo kama wazee wa nyeto bafuni

Haha wazee wa kujilipua kwenye ubora wenu ila jaribu tena na tena mkuu mwisho wataachia tu.

form1


Sent using Jamii Forums mobile app
Oouh , nikajua unaimba.

Ilikuwa kitambo sio leo
 
Back
Top Bottom