Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
Poleni na mihangaiko na wanajukwaa, baada ya purukushani nyingi, makinikia ,mara Arusha mara Nairobi, karibu upime uwezo wako wakufikiri kama bado haujaathirika na haya yote!
The test is simple, kama umewahi kukutana nayo like tu waachie wanaojaribu! Sawa?
Maswali-...
1. Kuna matofali 500 kwenye ndege iliyopo katika anga la mbali, likidondoka tofali moja nje ya ndege yatabaki mangapi?
2. Tafadhali taja hatua tatu zakumweka tembo kwenye friji.
3.Tafadhali taja hatua nne zakumweka mamba kwenye friji.
4. Mfalme sungura anasherekea sikukuu yake yakuzaliwa, wanyama wote wameudhuria, isipokua mmoja hajaudhuria na hajatoa sababu, ni mnyama gani huyo na ni kwasababu gani hajaudhuria?
5. Magushite anataka kuvuka mto wenye mamba mkali sana, mto hauna daraja, anaamua kuogelea na anavuka salama bila ya kudhurika popote! Unaweza kuelezea ni muujiza gani umetokea?
6. Mwisho baada ya Magushite kuvuka mto, anaanguka chini nakupoteza maisha, je nini kimesababisha kifo chake?
............mwisho..........
* karibu
The test is simple, kama umewahi kukutana nayo like tu waachie wanaojaribu! Sawa?
Maswali-...
1. Kuna matofali 500 kwenye ndege iliyopo katika anga la mbali, likidondoka tofali moja nje ya ndege yatabaki mangapi?
2. Tafadhali taja hatua tatu zakumweka tembo kwenye friji.
3.Tafadhali taja hatua nne zakumweka mamba kwenye friji.
4. Mfalme sungura anasherekea sikukuu yake yakuzaliwa, wanyama wote wameudhuria, isipokua mmoja hajaudhuria na hajatoa sababu, ni mnyama gani huyo na ni kwasababu gani hajaudhuria?
5. Magushite anataka kuvuka mto wenye mamba mkali sana, mto hauna daraja, anaamua kuogelea na anavuka salama bila ya kudhurika popote! Unaweza kuelezea ni muujiza gani umetokea?
6. Mwisho baada ya Magushite kuvuka mto, anaanguka chini nakupoteza maisha, je nini kimesababisha kifo chake?
............mwisho..........
* karibu