Njoo ujue urembo asilia na Arabian Queen

Njoo ujue urembo asilia na Arabian Queen

Mkuu Mimi natka nitbu chunusi usoni nikipaka mida y usiku nikae nayo muda gani dakka ngapi uson au mpka asubuh itakuwa sawa
Kitu cha kwanza wapasa kukijua kua.
Usipendelee kujishikashika uso kwasababu mikono inabacteria hivo unaongezea chunus kuongezeka usoni,ww chukulia normal usiwe mtu wa kuvitumbuatumbua au kujishika.

Kitu cha pili usipende kuosha uso mara kwa mara na sabuni,jipangilie kuosha mara mbili tu asbuh na jion ndio uoshe kwa sabun,katikatika apo ya siku ukitaka kuosha osha na maji safi tu bila ya sabuni.

Kitu cha tatu pendelea kufanya mazoez kwani ni njia moja wapo iliyonisaidia kupotea kwa chunus,jasho kadri linavyotoka na kadri chunus zinapotea,kwan yale ni mafuta.

Kitu cha nne punguza stress,kwasbabu ni moja wapo inayooongeza chunus.be freemind and stressfree

Kitu cha tano ni kutumia huo mchanganyiko,mdalasini na asali,ni vizuri zaid ukatumia usk as i did nikapata matokeo mazuri ndani ya siku tatu tu.pakaa usoni iwe thin layer usijaze sanaa italeta kero,pakaa kila sehem ambayo unahis pana chunus,then lala nayo ukiamka asbuh osha uso wako na maji ya baridi.

Uso wako kama ni wa mafuta basi usijipake kitu chochote usoni chenye asili ya mafuta..
 
Kitu cha kwanza wapasa kukijua kua.
Usipendelee kujishikashika uso kwasababu mikono inabacteria hivo unaongezea chunus kuongezeka usoni,ww chukulia normal usiwe mtu wa kuvitumbuatumbua au kujishika.

Kitu cha pili usipende kuosha uso mara kwa mara na sabuni,jipangilie kuosha mara mbili tu asbuh na jion ndio uoshe kwa sabun,katikatika apo ya siku ukitaka kuosha osha na maji safi tu bila ya sabuni.

Kitu cha tatu pendelea kufanya mazoez kwani ni njia moja wapo iliyonisaidia kupotea kwa chunus,jasho kadri linavyotoka na kadri chunus zinapotea,kwan yale ni mafuta.

Kitu cha nne punguza stress,kwasbabu ni moja wapo inayooongeza chunus.be freemind and stressfree

Kitu cha tano ni kutumia huo mchanganyiko,mdalasini na asali,ni vizuri zaid ukatumia usk as i did nikapata matokeo mazuri ndani ya siku tatu tu.pakaa usoni iwe thin layer usijaze sanaa italeta kero,pakaa kila sehem ambayo unahis pana chunus,then lala nayo ukiamka asbuh osha uso wako na maji ya baridi.

Uso wako kama ni wa mafuta basi usijipake kitu chochote usoni chenye asili ya mafuta..
thanks mkuu nimekupata ngoja nianze dozi
 
Mwalimu naomba kupata dawa ya asili ya kutoa weusi eneo la kuzunguka macho au wanasema miwani please
 
Namna na kuondoa weusi chini ya macho(dark circles).
zipo tiba mbalimbali,hivyo tutaongelea tiba moja baada ya ingine.

1)mahitaji(tiba ya kwanza)
  • tango
Namna ya kuandaa na kutumia.
chukua tango lako ambalo uliliwela ktk friji linaubaridi,litie ktk ile brenda ya kusagia vitu vikavu,ulikatekate alaf ulitie mule ulisage mpk liwe laini.
baada ya hapo ujipake eneo la jicho lotee na uache kwa mda wa dakika 20 baada ya hapo osha kwa maji safi.
Tumia mchanganyiko huu asbuhi na jioni,mpk utakapoanza kuona mabadiliko ndio utakua unafanya mara moja.

2)mahitaji(tiba ya pili).
  • Kiazi mbatata
  • pamba
Namna ya kuandaa na kutumia.
chukua kiazi kimenye alaf ukioshe kiwe safi.kikate kate ikisha kisage ktk brenda ya vitu vikavu mpk kile laini,chukua pamba chovya ktk ule mchanganyiko upate yale maji maji upake sehem iliyozunguka macho,paka mara mbili kwa siku,mpk utapoona matokeo.(huu mchanganyiko pia hutoa mabaka na makovu usoni).

3)mahitaji(tiba ya tatu).
  • Manjano
  • ndimu au limau
namna ya kuandaa na kutumia.
changanya manjano pmj na limau au ndimu upate ujazo sahia,uwe unapaka sehem ya macho kwa dakika 20 baada ya hapo osha,mara mbili kwa siku mpk utapoanza ona matokeo.

4)mahitaji(tiba ya nne)
  • Jasmine essensial oil AU
  • Almond oil AU
  • Olive oil AU
  • Rose oil.
Namna ya kutumia
tumia mafuta yyte kati ya hayo,kutwa mara tatu upake maeneno ya macho uwache kwa mda wa dakika 20 then osha kwa maji safi,mpk utapoanza kuona matokeo.

5)mahitaji(tiba ya tano)
  • Limau au ndimu
  • pamba
Namna ya kutumia
chovya pamba ndani ya maji ya ndimu au limau pakaa sehem ya macho iliyopiga weus,wacha kwa dakika 10 then osha fanya mara mbili kwa siku,mpk utapoona matokeo.

NB..
usiwe mtu mwenye kupenda kukesha.sleep on tym.
usiwe mtu wa mawazo,be stressfree..
 
Mwalimu naomba kupata dawa ya asili ya kutoa weusi eneo la kuzunguka macho au wanasema miwani please

Namna na kuondoa weusi chini ya macho(dark circles).
zipo tiba mbalimbali,hivyo tutaongelea tiba moja baada ya ingine.

1)mahitaji(tiba ya kwanza)
  • tango
Namna ya kuandaa na kutumia.
chukua tango lako ambalo uliliwela ktk friji linaubaridi,litie ktk ile brenda ya kusagia vitu vikavu,ulikatekate alaf ulitie mule ulisage mpk liwe laini.
baada ya hapo ujipake eneo la jicho lotee na uache kwa mda wa dakika 20 baada ya hapo osha kwa maji safi.
Tumia mchanganyiko huu asbuhi na jioni,mpk utakapoanza kuona mabadiliko ndio utakua unafanya mara moja.

2)mahitaji(tiba ya pili).
  • Kiazi mbatata
  • pamba
Namna ya kuandaa na kutumia.
chukua kiazi kimenye alaf ukioshe kiwe safi.kikate kate ikisha kisage ktk brenda ya vitu vikavu mpk kile laini,chukua pamba chovya ktk ule mchanganyiko upate yale maji maji upake sehem iliyozunguka macho,paka mara mbili kwa siku,mpk utapoona matokeo.(huu mchanganyiko pia hutoa mabaka na makovu usoni).

3)mahitaji(tiba ya tatu).
  • Manjano
  • ndimu au limau
namna ya kuandaa na kutumia.
changanya manjano pmj na limau au ndimu upate ujazo sahia,uwe unapaka sehem ya macho kwa dakika 20 baada ya hapo osha,mara mbili kwa siku mpk utapoanza ona matokeo.

4)mahitaji(tiba ya nne)
  • Jasmine essensial oil AU
  • Almond oil AU
  • Olive oil AU
  • Rose oil.
Namna ya kutumia
tumia mafuta yyte kati ya hayo,kutwa mara tatu upake maeneno ya macho uwache kwa mda wa dakika 20 then osha kwa maji safi,mpk utapoanza kuona matokeo.

5)mahitaji(tiba ya tano)
  • Limau au ndimu
  • pamba
Namna ya kutumia
chovya pamba ndani ya maji ya ndimu au limau pakaa sehem ya macho iliyopiga weus,wacha kwa dakika 10 then osha fanya mara mbili kwa siku,mpk utapoona matokeo.

NB..
usiwe mtu mwenye kupenda kukesha.sleep on tym.
usiwe mtu wa mawazo,be stressfree..
 
Namna ya kutengeneza dawa ya chunusi nyumbani.

mahitaji
  1. Asali vijiko vitatu
  2. mdalasini kijiko kimoja
Namna ya kuandaa na kutumia
changanya asali na mdalasini,mpk vichanganyike.
osha uso wako vizuri pakaa usk wacha kwa dakika 20 alaf osha kwa maji.
Au
pakaa usiku sehem ambayo zinachunusi ,lala nayo usku ,ukiamka asbuh osha uso wako vizuri.

Hii husaidia kukausha chunus ,ni vizuri zaid ukatumia usk ukapakaa sehem ilokua na chunus then ukalala nayo.

Matokeo utayaona three days after use.

Hata mgongoni unapaka tu kama kuna vichunusi
 
Tiba ya chunusi

.vitunguu thomu

Visage mpk viwe laini then upake sehem ya chunus ulale nayo usk kucha.
Matokea ndan ya siku tatu inategemea na wingi wa chunus.
Allergic skin,usitumie, acha.
 
mim naomba unifundishe namna ya kukuza nywrle kwa njia ya asili na vitu vya kuchanganya viwe cheap
 
Back
Top Bottom