Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Huyo kapumzika tuuChunguza hii picha ya huyu mtu aliyekufa kwa kamba kisha toa maelezo yenye weledi tueleze
Je kajiua au kauwawa?
Fikiria wewe ndio ungekuwa askari mpeleleziView attachment 2357803
Uzi umeishia hapa, wakujengee sanamu na moderators waufute uzi mara 1.Huyo kauwawa wauaji walisahau kuficha magongo maana ni mlemavu.
Hujawahi kuwa mzuri katika kujenga hoja mkuu.Kwa hiyo Iq yako imeishia kutu postia?
Kukabiliana na changamoto kubwa ktk nchi yetu km vile,Tozo,ugumu wa maisha,magonjwa,n.k,nadhani hicho ndio kipimo cha IQ cha uhakika duniani.Chunguza hii picha ya huyu mtu aliyekufa kwa kamba kisha toa maelezo yenye weledi tueleze
Je kajiua au kauwawa?
Fikiria wewe ndio ungekuwa askari mpeleleziView attachment 2357803
ha ha ha 'usitumie kichwa kama kifuniko cha shingo'Hujawahi kuwa mzuri katika kujenga hoja mkuu.
Your IQ is very rough and dis-organised
View attachment 2357822
Jamaa kanichekesha sana asieee eti kifuniko😁😁ha ha ha 'usitumie kichwa kama kifuniko cha shingo'
Angalau tunaongeza siku za kuishiJamaa kanichekesha sana asieee eti kifuniko😁😁
Kauwawa sababu hayo magongo yako mbali na kiti, pili hakuwa pekeyake maana Kuna hizo glass mbili mezani.Chunguza hii picha ya huyu mtu aliyekufa kwa kamba kisha toa maelezo yenye weledi tueleze
Je, kajiua au kauawa?
Fikiria wewe ndio ungekuwa askari mpeleleziView attachment 2357803
Uthibitisho gani unakuonesha huyo ni mlemavu na hayo magongo ni yake na siyo ya mtu mwingineHuyo kauwawa wauaji walisahau kuficha magongo maana ni mlemavu.
Ukiweka glass mbili nyumbani kwako,mezani kwako au gheto kwako ina maana lazima muwe wawili?Kauwawa sababu hayo magongo yako mbali na kiti, pili hakuwa pekeyake maana Kuna hizo glass mbili mezani.
Hapo mezani sio pa kutunzia glass halafu hizo glass inaonekana Kuna kinywaji walikuwa wanakunywa, kama alikuwa pekeyake bas ingekuwepo moja.Ukiweka glass mbili nyumbani kwako,mezani kwako au gheto kwako ina maana lazima muwe wawili?