kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
KauwawaChunguza hii picha ya huyu mtu aliyekufa kwa kamba kisha toa maelezo yenye weledi tueleze
Je, kajiua au kauawa?
Fikiria wewe ndio ungekuwa askari mpeleleziView attachment 2357803
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KauwawaChunguza hii picha ya huyu mtu aliyekufa kwa kamba kisha toa maelezo yenye weledi tueleze
Je, kajiua au kauawa?
Fikiria wewe ndio ungekuwa askari mpeleleziView attachment 2357803
Haya ni maswala ya kipolisi, polisi ni watu wasio na akili kabisaChunguza hii picha ya huyu mtu aliyekufa kwa kamba kisha toa maelezo yenye weledi tueleze
Je, kajiua au kauawa?
Fikiria wewe ndio ungekuwa askari mpeleleziView attachment 2357803
Na huwa wana majibu kama ya kwako maana ni viranja wakuu wa nchi kama walivyo viranja wa shule za.msingi mda wote kuwaza adhabu tuHaya ni maswala ya kipolisi, polisi ni watu wasio na akili kabisa
Kwahiyo kale kademu kule pichani ndo kamesababisha ajiue.. mpumbavuChunguza hii picha ya huyu mtu aliyekufa kwa kamba kisha toa maelezo yenye weledi tueleze
Je, kajiua au kauawa?
Fikiria wewe ndio ungekuwa askari mpeleleziView attachment 2357803
Kuficha tena! Walitakiwa wayasogeze magongo pale alipo ili ionekane aliyatumia hadi anajinyonga.Huyo kauwawa wauaji walisahau kuficha magongo maana ni mlemavu.
Picha hii si ya kupigwa, ni ya kuchorwa. Vyote humo chumbani ni katuni.Sasa katuni hua anakufa