NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Mbona umemtoa my wangu KWA avatar!!?mrudishe!!Safi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umemtoa my wangu KWA avatar!!?mrudishe!!Safi
Tafuta lodge nzuri nije, nikusalimie mkuu. Nitakuletea zawadi maposho bila kusahau k and y. 😀😀😀😀😀😀😀Nipo mbeya mkuu...dar matembezi
Unadhani utabadilika basi🤣🤣🤣🤣🤣tutakugundua tuAcha ibaki kuwa siri nataka ya nyuma yabaki kuwa ya nyuma nimeanza upya kabisa 😊😊😊
Hope da naka atarudi
Haiwezi kuwa rahisi nimechangeUnadhani utabadilika basi🤣🤣🤣🤣🤣tutakugundua tu
Mmmh ninavyokujua mtukutu wewe sijui!ngoja kwanza tuone maana Mungu anatendaHaiwezi kuwa rahisi nimechange
😂😂😂😂Kama Chinese masterMambo ni shwaaa shwaaa
🤣🤣🤣🤣🤣We ndio waleeee mpo single lkn mpo kwenye mahusiano🤣🤣🤣🤣Utaniweza mie japo in reality unajua siwez nikawa nipo single🤭
🤣🤣🤣🤣Uzuri humu tunapita tu....hata wasipoelewa ni poa tu🤣🤣🤣🤣🤣We ndio waleeee mpo single lkn mpo kwenye mahusiano
Ubinafsi wa kiwango cha juu sanaFuraha yangu ni muhimu zaidi kuliko kitu chochote, najipenda mwenyewe kwanza[emoji3059]
Ubinafsi wa kiwango cha juu sana
Maisha ni mazuri sana ikiwa hautayapa kipaombele mambo yasiyokupa kipao mbele wewe.Habari za jioni wakuu!
Baada ya kuondoka humu kwa muda mrefu hatimae nimeamua kurejea tena….niliwamiss.
Naomba msipite bila kusema neno hapa,
Kwa Wale mliochoka magumu ya ndoa au mahusiano ya muda mrefu mkaamua kumove on mlitumia muda gani kuzoea Hali ya upweke? Kitu gani kiliwafanya kusonga mbele bila kuwarudia waliowaumiza?
Tumeumbwa kufaana na kufaidina, mimi namfaidia yule, na yule ana kufaidia wewe, ndio mzunguko wa maisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa ulitaka nimpende mtu ambaye nae inatakiwa ajipende mwenyewe??
Basi nakupenda wewe kidogo [emoji2957]
Tumeumbwa kufaana na kufaidina, mimi namfaidia yule, na yule ana kufaidia wewe, ndio mzunguko wa maisha
Kujipenda hakutakuwa na utimilifu wa furaha kama hakutahusisha mwingine.
Amina kubwa 😀MmmhMmmh ninavyokujua mtukutu wewe sijui!ngoja kwanza tuone maana Mungu anatenda
'sheria mkononi, amani moyoni'najipenda mwenyewe
Mshamba mtafute mzee wa puchu akwambie sasa 🤣🤣🤣'sheria mkononi, amani moyoni'
dah, kumbe ulikua serious, mbona mimi hujanitumia😂Mshamba mtafute mzee wa puchu akwambie sasa 🤣🤣🤣
dah, kumbe ulikua serious, mbona mimi hujanitumia[emoji23]