Njoo utoe stress zako kistaarabu kwa anaekukera humu JF.

Njoo utoe stress zako kistaarabu kwa anaekukera humu JF.

Vida1

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2019
Posts
538
Reaction score
1,539
Kiukweli humu JF sio kila mtu unamkubali na kumpenda kuna baadhi ya member wanakuudhi na kukukera ila hauna pa kutolea na kuwapa ukweli wao na aidha unaishia kutukana na kupewa Ban isiyo ya lazima.

Usipate shida tena... Thread yako ya kumpa maneno yake anaekukera hii hapa. Toa stress zako kwa ustaarabu bila kukanyaga sheria za JF. Mpe maneno yake kiungwana na umtag ili aone na yeye.
Dripboy na wengine njooni tuteme nyongo kistaarabu hapa.

Njooni.
 
Kiukweli humu JF sio kila mtu unamkubali na kumpenda kuna baadhi ya member wanakuudhi na kukukera ila hauna pa kutolea na kuwapa ukweli wao na aidha unaishia kutukana na kupewa Ban isiyo ya lazima.

Usipate shida tena... Thread yako ya kumpa maneno yake anaekukera hii hapa. Toa stress zako kwa ustaarabu bila kukanyaga sheria za JF. Mpe maneno yake kiungwana na umtag ili aone na yeye.
Dripboy na wengine njooni tuteme nyongo kistaarabu hapa.

Njooni.
Uliyemtag ndo anakukera si ndio...???
 
Nampenda kila MTU kasoro MTU anayependwa na wengi, Because..

Wiseman Once said..
Nzi hukimbilia takataka
Mkuu kuwa wazi. Usikae na kitu rohoni. Leo tunaachia na kuwa free. Tunasema kistaarabu ili tuwe huru.
Nani anakukera humu JF!?
 
Mi kuna jamaa mmoja wanidai alinikwaza sana daaah anyway
cc.....
Naomba mum tag kwa niaba yangu.
 
Back
Top Bottom