Njoo utoe stress zako kistaarabu kwa anaekukera humu JF.

Njoo utoe stress zako kistaarabu kwa anaekukera humu JF.

Pendaneni
Sameheaneni mnapokoseana
Maisha yaendelee

Kumchukia MTU hakukupi nafuu wala faida yoyote,kuwa na hasira ni kujiadhibu mwenyewe kutoka na makosa ya mwingine..wewe n mhanga wa kwanza wa hasira ukasirikapo

Chuki na hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu na sio mwenye hekima.
Ndio lengo la huu Uzi. Kutoa yale tuliyobeba moyoni ili tuwe huru. Tusiwabebe watu tuwape makavu tuwe huru.
 
Ushapewa makavu yako. Tulia na uachane na udini.
Be kind we Mbibi to all human being regardless their religion affiliation.
Unashindwa kujibu swali. Unaleta shutuma ya kitu usichokijuwa maana yake?

Kama si upunguani huo ni nini? Ujuha?
 
Crazy enough, maisha hayako hivi. Fighting is in God's plan ndo reason Waisrael na Wapalestina kule Mashariki ya kati dini zilikoanzia hakuna amani. Ni Mapambano tu mwanzo mwisho. Ukitaka kutafuta amani wakati wa vita utakufa mapema boy.
Duniani ni mapambano tu, kaburini ndio mapumzikoni.
Grind hard boy.
 
"Mdini" maana yake nini?

Sijawahi kuona mti usio na matunda ukipopolewa. Sikushangai.
Its simple... Ufiche udini. Watu wanakereka. Mbona kuna waislamu wengi humu na hatuwalalamikii.
 
Back
Top Bottom