Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Magonjwa Mtambuka anaonekana ni mzigo saana ametajwa saana humu leo.mng'ato bachelor sugu Magonjwa Mtambuka Daby and the list goes on...this is life..we don't expect everyone here to be the same...tunakwaruzana,tunafundishana,tunafurahishana....siku zinasonga!
Ndio lengo la huu Uzi. Kutoa yale tuliyobeba moyoni ili tuwe huru. Tusiwabebe watu tuwape makavu tuwe huru.Pendaneni
Sameheaneni mnapokoseana
Maisha yaendelee
Kumchukia MTU hakukupi nafuu wala faida yoyote,kuwa na hasira ni kujiadhibu mwenyewe kutoka na makosa ya mwingine..wewe n mhanga wa kwanza wa hasira ukasirikapo
Chuki na hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu na sio mwenye hekima.
Miafrika Ndivyo Tulivyo
Unashindwa kujibu swali. Unaleta shutuma ya kitu usichokijuwa maana yake?Ushapewa makavu yako. Tulia na uachane na udini.
Be kind we Mbibi to all human being regardless their religion affiliation.
Nilidhani ni mimi tu, kumbe watu washamsomaUshapewa makavu yako. Tulia na uachane na udini.
Be kind we Mbibi to all human being regardless their religion affiliation.
mimi huwa sina chuki na mtu, mtu akileta chuki na mimi atapambana na wananzengo.Wewe hunikeri sababu una avatar ya "Gaucho".
Crazy enough, maisha hayako hivi. Fighting is in God's plan ndo reason Waisrael na Wapalestina kule Mashariki ya kati dini zilikoanzia hakuna amani. Ni Mapambano tu mwanzo mwisho. Ukitaka kutafuta amani wakati wa vita utakufa mapema boy.
[emoji1617]