Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Mkuu Wewe Umeanza Na Nani Kumtemea Nyongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kuna wanawake pia wanaodharau single mothers, angalia hiyo comment niliom-quote Khantwe ... Huyu bibi anajifanya anajua dini, lakini kazi kutukana mama za watu
Komenti inasomeka kama yako[/QUOTE]Aaahh sawa
Komenti inasomeka kama yako
Amna mtu ane nikera kama uyu bright platnumz saivi limekura ban nme frahi ..utoto mwingi
Poa poa mkuu.mng'ato bachelor sugu Magonjwa Mtambuka Daby and the list goes on...this is life..we don't expect everyone here to be the same...tunakwaruzana,tunafundishana,tunafurahishana....siku zinasonga!
Kwa Mshana Jr nakuunga mkono mkuu anajifanya anajua kila kitu hapa Duniani na hataki kurekebishwa anapokosea, alifungua Uzi wake wa BMW humo kaelezea utumbo akaja mtaalamu kumrekebisha akang'aka.aisee kusema ukweli jf ni mwaka wa 6 sasa niko hum ukiachana na lumumba fc wanaokera kwa comments na threads zao, kuna jamaa wawili huwa wananikera sana nadhani hata nyuzi za huwa nafungua kwa bahati mbaya tu.
wakwanza ni Mshana Jr.
huyu mtu ni kihelehele pia anajitia ujuaji mwingi ni mtu wa matango pori. yeye kila kitu anajua
wa pili ni pididy
huyu jamaa huwa simwelewi kabisa ana uandishi kama vile mtoto wa chekechea, ni mbishi balaa! wazee wa jukwaa la kuweka mizigo nadhani wananielewa ninaposema ni mbishi,
ni hayo tu aisee
hovyo kabisa mkuuKwa Mshana Jr nakuunga mkono mkuu anajifanya anajua kila kitu hapa Duniani na hataki kurekebishwa anapokosea, alifungua Uzi wake wa BMW humo kaelezea utumbo akaja mtaalamu kumrekebisha akang'aka.
Kafungua Uzi wa dent akarekebishwa hataki kuelewa.
Anakera Kweli.
Pdidy kutoka kwa wazee wa mzigo ana ID kama nane za kutuma tips mfululizo za kukera.
Una matunda gani wewe?"Udini" maana yake nini?
Sijawahi kuona mti usio na matunda ukipopolewa. Sikushangai.