MKUYENGE
JF-Expert Member
- Jun 26, 2019
- 4,107
- 4,612
Mkuu wewe ni mwanaume?Simpend yule mchawi na mlogaji mwenye kujitanabaisha na kujitukuza kwa kujitutumua ilihali kichwani ni mwehu mwenye gonorea isiyotibika akisubiri kufa mda wowote.
Mxxxxxuuuuuu, ptuuuuuuu
Kama ni mwanaume mbona umeandika wanavyoandikaga wanawake?