Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
๐๐๐Basi haikua bahati yangu .sio riziki ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2]..Hata kuchat faragha umeacha..Najuuuta kwanini nilikubali hayo mafunzo, sasa hivi ningekuwa nimepigilia track suit[emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi haikua bahati yangu .sio riziki [emoji57]
Sijaacha.[emoji2] [emoji2]..Hata kuchat faragha umeacha..
Dawa yako ipo..Sijaacha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dawa yako ipo..
Uzi wenu kina nani?Naona mmeamua kutukera kuchart mapenzi kwenye Uzi wetu.
Endeleeeni kutukera.
Shemeji shemeji huku mwazima taa[emoji1745][emoji1745]Wivu hadi kwa mashemeji??
Hahahaha hayo mbona ni mambo ya kawaida tu tatizo wewe posts zako karibu zote ni za kutaka kuponda watu hasa Mshana Jr sasa nani anayaweza hayo?Wananikera wanaochart mapenzi kwenye Uzi usiohusu mapenzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wananikera wanaochart mapenzi kwenye Uzi usiohusu mapenzi.
Sifanyagi gizani..[emoji12]Shemeji shemeji huku mwazima taa[emoji1745][emoji1745]
[emoji23][emoji23][emoji23]Namchukia mno Alikiba mkuu
Lol, sio ushoga tu nasupport LGBTQIA members wote, halafu wewe utakua hapo kwenye Q ila bado hujajikubali.Nimekumbuka, namchukia culture gal ... Sina uhakika wa jinsia yake , ila ana support ushoga.
Mpumbavu sana
Eti. LGBTQIA.. Naona kila mwaka mnaongeza herufi na sahivi mnataka kuongeza na wale wanaopenda kufanya mapenzi na watoto(pedophilia)Lol, sio ushoga tu nasupport LGBTQIA members wote, halafu wewe utakua hapo kwenye Q ila bado hujajikubali.