Njoo utoe stress zako kistaarabu kwa anaekukera humu JF.

Njoo utoe stress zako kistaarabu kwa anaekukera humu JF.

Wananikera wanaochart mapenzi kwenye Uzi usiohusu mapenzi.
Hahahaha hayo mbona ni mambo ya kawaida tu tatizo wewe posts zako karibu zote ni za kutaka kuponda watu hasa Mshana Jr sasa nani anayaweza hayo?

Acha tu watu wajiongelee na mambo yao mengine maana kuwachukia hadi watu usiowajua nacho ni kipaji ati huo moyo sijui utahifadhi mambo mangapi sasa.
 
Unaeza tafuta jina lako kumbe ushaweka ignore list kitambo

Wakuu kama kuna mtu nimekukosea hebu njoo tuyajenge maisha yenyewe mafupi haya
 
Lol, sio ushoga tu nasupport LGBTQIA members wote, halafu wewe utakua hapo kwenye Q ila bado hujajikubali.
Eti. LGBTQIA.. Naona kila mwaka mnaongeza herufi na sahivi mnataka kuongeza na wale wanaopenda kufanya mapenzi na watoto(pedophilia)
Kwaiyo itakuwa, LGBTQIAP... Watu kama nyie mnatakiwa mpigwe risasi mfe mapema kabla hamjaeneza ujinga wenu..

Afu unakuja hapa unajisifia kabisa, wala huoni ata aibu...
 
Back
Top Bottom