Pasipo kumsahau Arushaone jamaniAsante Mkuu! Ila hizo tuhuma nawaachia PakaJimmy na Mzee wa Rula
Mimi na mwenzangu tumeshukuru sana
Nataka kujitolea kuwa mlezi wa ndoa yake....bureeeeeeeeeeeeeee
Wewe...mkeo anajua huku?
Tunaleana wenyewe
Najua sana kwan vp
Naomba tufanye utatu....
Nakuonea huruma tu....
Cheupe dawa wangu upo?
Sijambo, habari ya siku nyingi?
Wifi hajambo? Mwabie namsalimu
Asante sana Mpendwa!
Tunakupenda sana! Nisalimie Mwalimu!
Mweeh.. wewe ndo cheupe dawa..?
Yeees, chotara wa KIHAYA, MWEUPEEE.....you dont believe?
Vin Diesel, njoo umjibu sosoliso anauliza