44mg44
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 2,158
- 2,186
Wanalunyasi nawaalika kuja kutoa dua na sala ili timu yetu icheze kwa amani pia ishinde. Kumbukeni sisi huwa hatushindi ushindi wa kununua, kwahiyo huwa tunashnda kwa kutumia maarifa na ujuzi wa wachezaji wetu.
Nawakaribisha kuja kutoa dua na sala ili timu yetu ishinde.
Nawakaribisha kuja kutoa dua na sala ili timu yetu ishinde.