Njooni tuitakie kila la kheri timu yetu ya Simba kwa mechi ya leo, maana sisi hatushindagi kwa bahasha!

Njooni tuitakie kila la kheri timu yetu ya Simba kwa mechi ya leo, maana sisi hatushindagi kwa bahasha!

Wanalunyasi nawaalika kuja kutoa dua na sala,ili timu yetu icheze kwa amani pia ishinde.
Kumbukeni sis huwa hatushindi ushind wa kununua,ko huwa tunashnda kwa kutumia maarifa na ujuzi wa wachezaji wetu
Nawakaribisha kuja kutoa dua na sala ili tim yetu ishinde
Hivi huwa mnapata Nini pale unapopoteza muda wako kumuangalia mwanaume mwenzako akiwa kazini. Yaani yeye anaingiza hela wewe unapoteza. Huwa nawaza na wazua sipati jibu. Kama zawadi hampati mpaka wewe.
Bado mnajichanga kuwapa wengine waishi kibata huku mtu ukikosa hata buku la dagaa ama mchicha.
 
Bora tu mshinde! Maana ikatokea mkatoa sare, au kufungwa! Basi Matola na Mgunda watakoma.
 
Back
Top Bottom