Njooni tuitakie kila la kheri timu yetu ya Simba kwa mechi ya leo, maana sisi hatushindagi kwa bahasha!

Tupo pamoja. Simba SC forever Champions
 
Reactions: BRN
Hivi huwa mnapata Nini pale unapopoteza muda wako kumuangalia mwanaume mwenzako akiwa kazini. Yaani yeye anaingiza hela wewe unapoteza. Huwa nawaza na wazua sipati jibu. Kama zawadi hampati mpaka wewe.
Bado mnajichanga kuwapa wengine waishi kibata huku mtu ukikosa hata buku la dagaa ama mchicha.
 
Bora tu mshinde! Maana ikatokea mkatoa sare, au kufungwa! Basi Matola na Mgunda watakoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…