Njooni tujifunze Kingereza kwa kuandika na kuongea

Njooni tujifunze Kingereza kwa kuandika na kuongea

Let me write.in kiswahili the
language I believe you master better than English.

Mfano Ulikuwa unayo kalamu baadaye ikapotea kwa mfano siku 2 hivi, hiyo peni akaikota mtu na akakuletea. Kesho yake huyo mtu akaja kwako na ukaanza kumuhadithia habari ya hiyo kalamu.

Kwamba: Kalamu uliyonipa iliyokuwa imepotea.

Uliyonipa------ You gave me,
Iliyokuwa imepotea (katika muda wa kabla hajakuletea hiyo kalamu) ---- have had been lost.


Wewe unajitahidi katika kiingereza ukilinganisha na Watz tuliowengi isipokuwa nimeona unatakiwa u perfect (you are in a perfection level) kiingereza chako.

Kwanza, Jifunze the 5 (five) conditinal sentences, Zero , General, imaginative, impossible (too late) and the mixed conditiinals, jifunze stative verbs na tenses.
Please, can you put these two statements in English:

1. Kalamu uliyonipa ilikuwa imepotezwa.

2. Kalamu uliyonipa ilikuwa imepotea.
 
Mkuu
Let me write.in kiswahili the
language I believe you master better than English.

Mfano Ulikuwa unayo kalamu baadaye ikapotea kwa mfano siku 2 hivi, hiyo peni akaikota mtu na akakuletea. Kesho yake huyo mtu akaja kwako na ukaanza kumuhadithia habari ya hiyo kalamu.

Kwamba: Kalamu uliyonipa iliyokuwa imepotea.

Uliyonipa------ You gave me,
Iliyokuwa imepotea (katika muda wa kabla hajakuletea hiyo kalamu) ---- have had been lost.


Wewe unajitahidi katika kiingereza ukilinganisha na Watz tuliowengi isipokuwa nimeona unatakiwa u perfect (you are in a perfection level) kiingereza chako.

Kwanza, Jifunze the 5 (five) conditional sentences, Zero , General, imaginative, impossible (too late) and the mixed conditionals, jifunze stative verbs na tenses.
Mbona kama naona umechambua maana tofaut na iliyokuwa kwenye swali??,🤔
 
Please, can you put these two statements in English:

1. Kalamu uliyonipa ilikuwa imepotezwa.

2. Kalamu uliyonipa ilikuwa imepotea.



1----The pen you gave me had been lost.

2----The pen you gave me have had been lost.
 
1----The pen you gave me had been lost.

2----The pen you gave me have had been lost.
1. Kalamu uliyonipa ilikuwa imepotezwa
The pen you gave me had been lost.

2. Kalamu uliyonipa ilikuwa imepotea
The pen you gave me had lost.
 
2. Kalamu uliyonipa ilikuwa imepotea
The pen you gave me had lost.


Hiyo ya kwanza tuposawa lakini hiyo ya pili hapana.


Kalamu uliyonipa ilikuwa imepotea, sio sawa na; The pen you gave me had lost, tafsiri ya hiyo sentensi kwa kiswahili ni hii; Kalamu uliyonipa iliisha potea.

Angalia tofauti ya "ilikuwa imepotea" na "iliyoisha potea"

Yaani kitendo "gave" katika hiyo sentensi ni near past tense na "had" ni past participle (far past tense)

had lost= iliishapotea
have had been lost= iliyokuwa imepotea, angalia hiyo "been" inawakilisha "iliyokuwa" nadhani unajua hiyo "been" ni derived from auxillary "be" (kuwa).

I suggest you go and study the use of "have had".
 
Hiyo ya kwanza tuposawa lakini hiyo ya pili hapana.


Kalamu uliyonipa ilikuwa imepotea, sio sawa na; The pen you gave me had lost, tafsiri ya hiyo sentensi kwa kiswahili ni hii; Kalamu uliyonipa iliisha potea.

Angalia tofauti ya "ilikuwa imepotea" na "iliyoisha potea"

Yaani kitendo "gave" katika hiyo sentensi ni near past tense na "had" ni past participle (far past tense)

had lost= iliishapotea
have had been lost= iliyokuwa imepotea, angalia hiyo "been" inawakilisha "iliyokuwa" nadhani unajua hiyo "been" ni derived from auxillary "be" (kuwa).

I suggest you go and study the use of "have had".
Try this:

^The child you talked about had come.^
 
Ohooo Valentine's day wishes! on my side I have got only one wish from my best friend. Hope it define and give me some alerts about my love situation.
Who's that friend?! I thought is your babe🤭 and for me also i was busy sending some wishes to my friends but i didn't get any🤔
 
Nop, still single boy but very stingy man😆, but if better let's send best valentine's day wishes to each other
Dear stingy man, and i do not wonder why you're single till now, you know the reason😀. Anyways let's surprise each other. Happy valentine's day my Okwaa the stingy person, but you have to change😀😍
 
Dear stingy man, and i do not wonder why you're single till now, you know the reason[emoji3]. Anyways let's surprise each other. Happy valentine's day my Okwaa the stingy person, but you have to change[emoji3][emoji7]
I guess he did promise to change, although he may need your help to do so. The problem is not that he is stingy, but rather that he has never found anyone with whom to spend.
 
Back
Top Bottom