Njooni tulime

Njooni tulime

emmax00

Member
Joined
Oct 1, 2016
Posts
38
Reaction score
3
Habari wanajamvi wenzangu, naleta Uzi huu , ili kuweza kupata ushauri ama kama kuna MTU tunaweza kujoin tukafanya biashara ya kilimo, tukalima kilimo cha muda mfupi mm Nina milioni 1 wakuu nisaidieni kufikiri nilime kilimo gani chenye Tija asanteni.
 
Huko MOSHI unajihusisha na kilimo cha nn mkuu
 
Mi nanakieneo cha heka mbili Kisarawe tikitimaji linakubali kiulaini ila sina mtaji tu
 
Start this Big boss.!

Unaweza lima miche ya mboga mboga kuanzia 150 mpaka 200 per Tower na kuuza 500 kila mche baada ya mwezi.! Mfano wa zao=Chinese

Uzuri wake.!

1. Mtaji mdogo kuanza

2. Gharama ndogo sana ya maji

3. Hata mjini unafanya.

4. The more the Tower the more You gain

5. Gharama ndogo ya usimamizi.

Mtaji wako si haba hata kidogo kuanzisha kitu kama hiki. Being initiative ndicho ulichobakiza tu mkuu wangu.

Niishie hapa.

Screenshot_20180704-010455.jpg
 
Habari wanajamvi wenzangu, naleta Uzi huu , ili kuweza kupata ushauri ama kama kuna MTU tunaweza kujoin tukafanya biashara ya kilimo, tukalima kilimo cha muda mfupi mm Nina milioni 1 wakuu nisaidieni kufikiri nilime kilimo gani chenye Tija asanteni.
Mboga mboga,pesa yako inarudi mapema sana. Mfano ukilima mchicha,unaanza kuvuna kuanzia wiki ya tatu mpaka sita tangu kupandwa kwa mbegu
 
Start this Big boss.!

Unaweza lima miche ya mboga mboga kuanzia 150 mpaka 200 per Tower na kuuza 500 kila mche baada ya mwezi.! Mfano wa zao=Chinese

Uzuri wake.!

1. Mtaji mdogo kuanza

2. Gharama ndogo sana ya maji

3. Hata mjini unafanya.

4. The more the Tower the more You gain

5. Gharama ndogo ya usimamizi.

Mtaji wako si haba hata kidogo kuanzisha kitu kama hiki. Being initiative ndicho ulichobakiza tu mkuu wangu.

Niishie hapa.

View attachment 894841
Hii mkuu nimeipenda sama, naomba mwongozo wa ktaalamu.gharama na hivyo vyombo vinapatikanaje, je ni vya kienyeji au dukani.nina eneo nusu heka Dar nilikuwa nawaza mianzishe nini maana muda wa kulijenga myumba bado.
 
Start this Big boss.!

Unaweza lima miche ya mboga mboga kuanzia 150 mpaka 200 per Tower na kuuza 500 kila mche baada ya mwezi.! Mfano wa zao=Chinese

Uzuri wake.!

1. Mtaji mdogo kuanza

2. Gharama ndogo sana ya maji

3. Hata mjini unafanya.

4. The more the Tower the more You gain

5. Gharama ndogo ya usimamizi.

Mtaji wako si haba hata kidogo kuanzisha kitu kama hiki. Being initiative ndicho ulichobakiza tu mkuu wangu.

Niishie hapa.

View attachment 894841
Yani tawa moja Tu unapiga laki.
 
Back
Top Bottom