Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Naona wanasimba tumepanic kipuuzi kisa Manara kuhamia Yanga. Hakuna kitu kipya.
Ukweli ni kuwa, Manara amekuwa mwajiriwa wa GSM kwa miaka kadhaa, GSM ndio wafadhili wa Yanga, na leo GSM wamempangia kazi pale Jangwani.
Pili Manara alishaondolewa Simba, hana mkataba na Simba, leo amekwenda Yanga kama mtu huru. Anapambana na maisha yake, tusiumie sana.
Ukweli ni kuwa, Manara amekuwa mwajiriwa wa GSM kwa miaka kadhaa, GSM ndio wafadhili wa Yanga, na leo GSM wamempangia kazi pale Jangwani.
Pili Manara alishaondolewa Simba, hana mkataba na Simba, leo amekwenda Yanga kama mtu huru. Anapambana na maisha yake, tusiumie sana.