Njooni tumuombe msamaha Mo kwa yote yaliyotokea

Njooni tumuombe msamaha Mo kwa yote yaliyotokea

Naona wanasimba tumepanic kipuuzi kisa Manara kuhamia Yanga. Hakuna kitu kipya.

Ukweli ni kuwa, Manara amekuwa mwajiriwa wa GSM kwa miaka kadhaa, GSM ndio wafadhili wa Yanga, na leo GSM wamempangia kazi pale Jangwani.

Pili Manara alishaondolewa Simba, hana mkataba na Simba, leo amekwenda Yanga kama mtu huru. Anapambana na maisha yake, tusiumie sana.
 
Siku zote nilikuwa najiuliza kwa miaka hii mitatu/minne iliyopita inakuwaje Simba ipo "on fire" kweli kweli lakini ikikutana na Yanga wanakaa kimajabu ajabu wakijipapatua sana ushindi wao ni droo. Leo ndio nimejua sababu mubashara kumbe walikuwa wanahujumiwa bila kujua.
Hahaha hilo ndio soka la bongo
 
Naona wanasimba tumepanic kipuuzi kisa Manara kuhamia Yanga. Hakuna kitu kipya.

Ukweli ni kuwa, Manara amekuwa mwajiriwa wa GSM kwa miaka kadhaa, GSM ndio wafadhili wa Yanga, na leo GSM wamempangia kazi pale Jangwani.

Pili Manara alishaondolewa Simba, hana mkataba na Simba, leo amekwenda Yanga kama mtu huru. Anapambana na maisha yake, tusiumie sana.
Well said
 
Ila binadamu bwana 😂, yani mtu alifukuzwa Simba Sc Sasa katafuta kibarua Ili mkono uende kinywani bado mnamuwekea kiwingu? Kuna shabiki yoyote wa Simba sc humu ambaye angempelekea msosi nyumbani kwake? Mnataka aendekeze ushabiki usio faida kwake?

Yani mlitaka akae bila kazi, aadhirike Ili mpate maada za kumjadili, kwenye team ya SIMBA SC aliashaacha kazi na baadhi ya watu walimtukana humu , kwasasa ukaamua kutafuta ugali wake pembeni achaneni nae.
 
Naona wanasimba tumepanic kipuuzi kisa Manara kuhamia Yanga. Hakuna kitu kipya.

Ukweli ni kuwa, Manara amekuwa mwajiriwa wa GSM kwa miaka kadhaa, GSM ndio wafadhili wa Yanga, na leo GSM wamempangia kazi pale Jangwani.

Pili Manara alishaondolewa Simba, hana mkataba na Simba, leo amekwenda Yanga kama mtu huru. Anapambana na maisha yake, tusiumie sana.
Nadhani wengi hawajapaniki lakini ninachokiona hapa ni kuwa baadhi ya mashabiki wa Simba walikuwa wameaminishwa na Manara kuwa yeye ni Simba damu halafu kaonewa kufukuzwa Simba. Lakini kwa kitendo alichokifanya leo ndio wengi sasa wanashtuka kuwa Simba ilikuwa na kiongozi/mfanyakazi ambaye ni shabiki wa Yanga damu ambaye uongozi ulimshtukia ukamfukuza. Kwa vyovyote vile lazima mashabiki wa Simba waduwae hasa ukizingatia wengine waliwatukana sana Babra na Mo wakati wanamtete huyo Manara.
 
Hizi mechi za Simba alizopoteza kimiujiza miujiza huyu jamaa alihusika.Ndio maana Yanga walikuwa na confidence kuifunga Simba huku wakisema wana mtu wao Simba.Kumbe ni huyu jamaa!?!
Yeah huyu ni kakakuona uongozi wa simba ulikua makini sana kuona angle hii
 
Siku zote nilikuwa najiuliza kwa miaka hii mitatu/minne iliyopita inakuwaje Simba ipo "on fire" kweli kweli lakini ikikutana na Yanga wanakaa kimajabu ajabu wakijipapatua sana ushindi wao ni droo. Leo ndio nimejua sababu mubashara kumbe walikuwa wanahujumiwa bila kujua.
Jibu limepatikana huyu mwehu alikuwa man behind the shit
 
Naona wanasimba tumepanic kipuuzi kisa Manara kuhamia Yanga. Hakuna kitu kipya.

Ukweli ni kuwa, Manara amekuwa mwajiriwa wa GSM kwa miaka kadhaa, GSM ndio wafadhili wa Yanga, na leo GSM wamempangia kazi pale Jangwani.

Pili Manara alishaondolewa Simba, hana mkataba na Simba, leo amekwenda Yanga kama mtu huru. Anapambana na maisha yake, tusiumie sana.
Umeongea vizr sana mkuu. Ila sidhani kama kuna mwanasimba mwenye akili amepaniki. Ila ninavyoona Mimi ni kwamba saizi simba ndo imekua imeungana zaidi. Kwa sababu ile situation ya manara simba tuligawanyika. Wengine tuliona manara anasingiziwa. Wengine tukaona ni kwa sababu ya maslahi ya biashara za MO. Lakini tukio la Leo kuhamia Yanga. Barbara ameibuka kua shujaa na hili limeimarisha sana umoja wa simba
 
Siku zote nilikuwa najiuliza kwa miaka hii mitatu/minne iliyopita inakuwaje Simba ipo "on fire" kweli kweli lakini ikikutana na Yanga wanakaa kimajabu ajabu wakijipapatua sana ushindi wao ni droo. Leo ndio nimejua sababu mubashara kumbe walikuwa wanahujumiwa bila kujua.
Hakuna cha kuhujumiwa hapo, issue ilikuwa ni presha ya wachezaji wakikutana na yanga. Utulivu ulikuwa below 50% ndo maana tulikuwa hatuambulii kitu cha maana.
 
Mie sio fan wa Mpira wa Tanzania but nachojua kutokea kwa tukio moja linaweza kubadilisha muelekeo wa tukio lifuatalo.
Yawezekana kabisa Mo akawa chanzo cha Manara kuondoka Simba,sasa sijui baada ya kuondoka mlitaka akae bila kazi? I'll athibitishe kuwa anaipenda Simba.
Mfano mkeo au una mausiano fulan inatokea una shuku au una wasiwasi jiran yako au mtu unaemfaham ana ukaribu ambao unaatalisha kabisa labda ndoa yako au mausiano kwa kawaida unaweza kufanya uchunguzi na ukaongea nae muhusika akaruka mita mia na kuapa mitume na manabii na machozi juu ,baada ya muda fulan kwel ndoa au mausiano yanakufa kwa sababu ile ile apo apo yule yule uliekua unamuhusisha kwamba ndie anaetaka kukuvurugia kaz yako au mausiano yako wanaungana tena na yule yule mtu wako au bosi wako ,hivi kibinadam ww utaamin vip,kwa sababu kama suhala lilikua maslai au anaonewa mbona mwenyewe anakir hakua na mkataba alishindwa vip kuvunja huo mkabata bila kuwachafua wenzake ili akafanye kaz sehem ambayo nzur zaid mara nyingi unapopata kaz au unapopata mausiano mazur zaid ya mwanzo kiustaarabu unaaga vizur munaachana vizur na kwenda sehem sahihi lakin uyu haji alitumianisha kwamba yeye ni malaika hakua mkosaj ila viongoz wa simba ndio waliomkosea inawezekana ikawa kwel maana ata hao viongoz wa simba wana mapungufu lkn je yeye haji ni mkamilifu
 
Back
Top Bottom