Mume anamtuhumu Mke kua ana mahusiano ya Siri na Bwana Fulani. Baada ya Mke kuachika tu kaenda kuolewa na yuleyule aliekua akituhumiwa nae.Ule msemo wa kuwa Siasa haina rafiki au adui wa kudumu naomba leo uhamie kwenye soka!
Mimi binafsi naomba Mo unisamehe, niliaminishwa maneno kuwa wewe ni mbaya na jamaa fulani ila leo nimeamini tulidanganywa!
Kweli muda ni mwalimu mzuri sana!
Simba wakiloga manara akawa anavujisha Siri, na Simba inapigwa kimojaDunia ina mambo. Yaani Manara huyu huyu aliyekuwa analia Simba ikifungwa eti leo kaenda Yanga na kuvaa jezi ya kijani? Poleni bodi ya Simba wachezaji, wanachama na mashabiki wote kwani mlikuwa mnauzwa bila kujua kwa muda mrefu. Na iwapo huyu jamaa angekuwa Simba kwenye mechi ya Kigoma basi hata lile kombe mngekosa.
Aisee Simba mnapaswa mumushukuru sana na kumpa zawadi aliyewapa siri ya kuwa Manara ni Yanga lia lia na anawahujumu kwani leo kadhihirika wazi kabisa. Maisha yangu yote sijawahi kuona shabiki damu wa Simba kwenda Yanga au wa Yanga kwenda Simba halafu akapewa nafasi ya uongozi. Kwa wachezaji kidogo linaeleweka lakini si kwa uongozi.
Sperm zilizopotea njiaUsije ukazaa mtoto ukamwita hajji itakuwa useless of sperm jamaa mnafikiii kupitiliza
Upo sahihi [emoji817]Dunia ina mambo. Yaani Manara huyu huyu aliyekuwa analia Simba ikifungwa eti leo kaenda Yanga na kuvaa jezi ya kijani? Poleni bodi ya Simba wachezaji, wanachama na mashabiki wote kwani mlikuwa mnauzwa bila kujua kwa muda mrefu. Na iwapo huyu jamaa angekuwa Simba kwenye mechi ya Kigoma basi hata lile kombe mngekosa.
Aisee Simba mnapaswa mumushukuru sana na kumpa zawadi aliyewapa siri ya kuwa Manara ni Yanga lia lia na anawahujumu kwani leo kadhihirika wazi kabisa. Maisha yangu yote sijawahi kuona shabiki damu wa Simba kwenda Yanga au wa Yanga kwenda Simba halafu akapewa nafasi ya uongozi. Kwa wachezaji kidogo linaeleweka lakini si kwa uongozi.
Hajawahi kabisa ni mtu wa kawaida na sio simba ni MWANANCHISimba tumeuzwa kwa muda mrefu sana na huyu mtu.
Kakangu alikua anakaa mtaa wa Twiga ni mwanayanga na amekua na hao kina Haji,aliwai kuniambia miaka mitatu nyuma ya kuwa,"Haji hajawai kuwa Simba"
Nimekusoma GentamycineNa mkimaliza kumuomba Msamaha Mo Dewji Wewe na Wenzako hapa JamiiForums mniombe Radhi na Mimi Mightier a.k.a Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed kwani nakumbuka nilikuja na Threads mfululizo hapa hapa nikiwaambia Usaliti mkubwa na Unafiki wa Haji Manara kwa Simba SC mkanidhihaki na hata Kunidharau pia ila leo Maono yangu yamejihidhirisha rasmi.
Kwa hyo hata la luis miqiusone lipo?
Mo ni tapeli lazima tumtoe pale simba ataiua timu yetu