Njooni tusemezane. Sheria gani inakataza watu kuchangishana? Waziri Mkuu yupo sahihi kumkamata Niffer?

Njooni tusemezane. Sheria gani inakataza watu kuchangishana? Waziri Mkuu yupo sahihi kumkamata Niffer?

Acha kuchanganya madesa .
Nakuelewesha kwa kifupi kwani umeenda sipo.
Fedha ya umma ni fedha yeyote ambayo lazima ikaguliwe na mkagudhi na mdhibiti wa mahesabu ya serikali (CAG) hii ni sifa kuu ya fedha ya umma.
Hii michango anayokusanya huyu binti haiwezi kwa namna yeyote kukaguliwa na CAG .
Hizi fedha huyo binti wakati anazikusanya hazina sifa za kuitwa fedha za umma. (public finances ) kama sheria inavyoeleza maana ya public finances.
Hizi fedha huyo binti akishakwenda kuzikabidhi kwenye kamati ya maafa hapo ndio zinakuwa fedha za umma .
Unajichanganya sana ndugu unanifanya nielewe watanzania wengi kweli ni mambumbumbu wa sheria hata kama wanazijua hizo sheria hawajui zinatumikaje na wapi na katika muktadha upi.
Yaani kabisa una husisha public finances act na fedha anazochanga huyo binti.
Mkuu umeishusha hadhi sana public finance act hilo li lidude likubwa sana linalotoa muongozo wa fedha zote za serikali
Umma nimemasnisha watu

Sheria imsfanus umma kama nani?
 
Umma nimemasnisha watu

Sheria imsfanus umma kama nani?

Ngoja nikujibu kama Mwigulu alivyojibu swali kama lako.

Kuna kitu kinaitwa Public Debt kwa tafsiri nyingine ni deni la serikali ,au deni la umma.
Hili ni deni ambalo serikali inadaiwa kutokana na kukopa au kupata huduma flani bila kulipa .
"Government Debt in Tanzania increased to 12161 USD Million in September from 12160 USD Million in August of 2024"

Sasa kuna watu ambao sio waelewa kama wewe wakasema kutokana na hilo deni kukua kila mtanzania anadaiwa karibia milioni2.

Mwigulu alijibu hoja hiyo kwamba kamwe haitatokea hata siku moja serikali itampigia hodi kila raia kumtaka alipe hilo deni hilo ni deni la serikali na sio wananchi yaani umma wa watanzania.
Kila kitu kina utaratibu wake ndugu hata kama kinaitwa public.
Neno Public /Umma usilichukulie kirahisirahisi kwamba eti ni mali ya umma randomly tu.
Hata Ikulu ni public office ila sio kwa tafsiri yako wewe kwamba umma ni kama kokolo flani linajumlisha kila kitu .
Hapana ndugu embu jaribu kujielewesha zaidi kwa kusoma vitabu vya miongozo ya taratibu za kiserikali, pamoja na sheria mbalimbali utaonheza uelewa wako.
Nimeku note uelewa wako ni wa finyu au mdogo sana
 
Sheria si zipo wazi ama huyo Nifa yupo juu ya sheria ama mnataka mama zetu tu wa vijijini ndo wawe wanabanwa na sheria wajini hapana sio?
 
Msilete ushabiki kwenye mambo ya kisheria! Huyo Nifer hajaenda kuuawa bali anahojiwa na mamlaka zitaona nia yake ilikuwa nini. Mamlaka hazina bifu na huyo dada naamini ni ishu ya yeye kutoa ushirikiano tu ishu yake inaisha.

Sema kwa akili zake za mitandaoni ndo utaskia anapost kuwa ana strong arm hayo ndo yanaweza kumkost. Nadhan hajui serikali inavyofanya kazi yeye anajua kuuza bidhaa kutoka China basi. Anafikiri serikali ni kama konteina la bidhaa
Ajui kua wakimchungulia kidogo kwenye biashara zake hawamkosi, wakati mwingine ni vyema kua humble
 
Nawaamkua nyote

Tarehe 17 Novemba 2024, Waziri Mkuu akiwa eneo la Kariakoo kukagua zoezi linaloeneelea la uokoaji wa waliokwama chini ya kifusi cha ghorofa iliyoanguka. Alitoa maagizo kwa jeshi la polisi kumkamata Mtanzania aitwaye Niffer ambaye kupitia mitabdaoni alitoa taarifa kuwa amechangisha pesa za za kuwahani wahanga wa ajali ya ghorofa. kuna mambo kadhaa ya kuangazia hapa
  1. Niffer ametoa taarifa ya kuchangisha na kuelezea kiwango alichokikusanya
  2. Waziri Mkuu ameipokea taarifa ya Niffer kama vile anapokea briefings za kiuchunguzi
  3. Waziri Mkuu anatoa agizo la kukamatwa na kuhojiwa Niffer ili aeleze nani kamruhusu kuchangisha tarehe 17 Novemba 2024
  4. Tarehe 18 Novemba 2024, waziri Mkuu anaelekeza polisi wamhoji mmiliki wa jengo lililoanguka. Agizo hilo limekuja baada ya wananchi kuhoji alipo mmiliki wa jengo na kama hajakamatwa tangu siku ya jengo kuanguka.
  5. Jengo limeanguka ahsubuhi saa tatu halafu Mkuu wa Mkoa na vikosi vya uokozi wanafika eneo la tukio saa nane mchana. Hilo jambo halijamkera Waziri Mkuu
Naomba kufahamu, sheria gani imevunjwa ama kukiukwa na Niffer kuchangisha fedha ambapo si mara ya kwanza kuchangisha na kuwasilisha kwa walengwa?

Naomba kufahamu. Ni michango gani ya wahanga iliyolusanywa kupitia serikali na ikawasilishwa kwa walengwa? Nakumbuka michango ya tetemeko la ardhi Kagera ilikusanywa na walengwa hawwkuambulia senti. Vivyo hivyo mafuriko Morogoro wahanga waliishia kusikia redioni michango ambayo haikuwafikia.

Waziri Mkuu atueleze. Matumizi ya fedha za dharurq na majanga chini ya ofisi yake zimetumikqje tangu aingie ofisini?

Kweli ITATUWEKA HURU
Kama majaliwa ana record za kuwadanganya watz wote kwa ujumla, pata picha ni mara ngapi amekuwa akiwadanganya wanafunzi wake kipindi alipokuwa mwalimu wa Stadi za kazi huko jimboni kwao
 
Mkuu ni kwamba sheria inaelekeza mtu akikusanya hizo fedha sharti aziwasilishe kwenye kamati ya maafa.

Embu nitajie ni kifungu kipi cha sheria ya maafa kinaeleza hivi ,nimekunukuu

"Pili sheria ipo clear unakusanya kwa niaba ya serikali so wahusika lazima wajue intentions zako mapema. Team ya serikali pekee ndio ina panga mipango ya intervention wengine mnaingia kwa muongozo wao"
Hi ni kwa mujibu wa kifungu kipi cha sheria hiyo au umejitungia tu maneno yako unavyojisikia.

Halafu mkuu mahakamani kuna kanuni muhimu sana kiingereza inaitwa "proof beyond reasonable doubt"
Yaani kosa lazima lionekane na lithibitishwe limefanyika .
Sasa unaposema "unawapasababu ya wao kutafsiri vyovyote wanavyotaka"

Sasa huo utakuwa ni uhayawani unajitafsiria tu unavyotaka wewe ili mradi umtie mtu hatia hata kama hana kosa .
Hiyo sio sawa.
Ukweli uelezwe kilichotakiwa ni huyo binti aachwe akusanye hiyo michango hadi mwisho na kumwangalia angefanya nini na hizo fedha .
Endapo ingetokea hajaziwasilisha serikalini kazitumia tofauti na sheria inavyoelekeza ndipo angekamatwa na kupelekwa mahakamani kushtakiwa kwa mujibu wa sheria..
Waziri Mkuu kakurupuka kaonyesha yupo yupo hajielewi .
Kwa mtazamo wangu huyo bint angwekewa surveillance chini ya financial intellegence unite , hawa jamaa wangejua amekusanya kiasi gani na amekitumiaje.
Sasa ndio angekamatwa.
Moja wapo ya mbinu za kijasusi za kukabiliana na uhalifu ni kuruhusu uhalifu ufanyike huku ukiwa unaufatilia.
Unapata taarifa kuna mtu anaelekea kufanya uhalifu flani sasa ili kupata ushahidi beyond reasonable doubt inabidi umuache hadi atekeleze uhalifu huo ndio unamkamata .
Mbinu hii ingeweza kabisa kutumika kwa Huyu binti ilitakiwa awekewe mtego wa namna hii. (mbinu hii inatumika kwenye makosa ya utapeli na wizi mdogomdogo)
Lazima angeingia kwenye 18 ila kwa hivi wameharibu ushahidi na wamemnasua.
Kiongozi kuna namna nyingi za kutafsiri ‘written law’, lakini kusoma tu kifungu kidogo cha sheria na kukadhana nacho huko hakutomtendea haki mteja wako.

Msingi wa 35(2) kwenye sheria ya maafa unacholazimishia Niffer hana makosa kabisa, kipo chini ya ‘sehemu ya nne’ ya sheria husika inayosema kutakuwa na ‘mfuko wa usimamizi wa maafa wa taifa’ 34 (2e) inatambua source pia ni michango 34 (3) inakueleza wizara ndio inaongoza kitengo.

Section 35 inaelezea taratibu za ukusanyaji 35 (2) inatoa fursa kwa raia, 35 (3) inasema hela wanazokusanya raia na taasisi ziende wapi.

Sasa uwezi kujianzia michango wenyewe ujawapa habari ya lengo lako. Vinginevyo mpaka hapo unakuwa ushawapa ‘actus reus’ na kwa kuwa ujawambia wanaweza kukupa ‘motive’ zozote including utapeli.

Kuna namna nyingi za kusoma ‘written law’ amongst them ni ‘purposive approach’ sio kilichoandikwa tu, bali intentions ya hayo maandishi ilikuwa ni nini.

Binafsi sioni ya huyo binti kusota rumande kwa sababu waliokuwa wanafuatilia wanadai alikuwa open on the donated figures, ni swala la kuelimishana tu.
 
Haswaa unaweza kuta hata huyo Nifa alielekezwa ili kuzua mjadala
Issue ni kuwatoa kwenye jambo muhimu muishie kujadili yasiyo na tija kwa Taifa
Hao wote ni dugu moja
Mpo hapa kumhurumia sijui nifa
 
Nifa anakusanya michango kama nani?

1. Je ni mfanyabiashara kutoka kariakoo?
- Siku nyingi amekuwa na ugomvi na wafanyabiashara kutoka kariakoo.

2. Je ana uongozi wowote kwenye umoja wa wafanyabiashara?

3. Kwa nini atumie account yake binafsi kupokea hela? Akidai baadhi ya hela alipokea kwenye manunuzi ya bidhaa aake utabisha?

4. Kwa nini ahamasishe watu kuwa anachangisha hela, je hizo hela kazifanyia nini? Kuna sehemu nimeona kuwa kanunua maji ya milliom 40

5. Wakati anakusanya hela, inaonekana hakuwa Dar, yuko Dodoma. Aliweza kufikq hata sehemu husika hata kwa siku moja lilipotokea tukio

6. Hata kwenye vikao vyetu vya harusi au misiba kuna taratibu za kukusanya hela na pia kuna utaratibu wa kuandikisha waliochangia hela. Utaratibu huo ulifwata? Ana list ya watu waliochangia akapost online ili kila mtu aone -transparency

Kifupi alichofanya Niffer ni kutafuta umaarifu kwenye mambo ambayo hayamuhusu. Yeye kama nani? Hana mahusiano mazuri na wafanyabiashara wa kariakoo? Anaharibu utaratib wa businesses Dar....

Akiwekwa ndani kwa miezi mitatu na mahakama nitafurahi sana. Mpuuzi ....
Iwe amekosea au hajakosea...unafurahia binadamu mwenzako kuwekwa ndani mkuu?
 
Mkuu ni kwamba sheria inaelekeza mtu akikusanya hizo fedha sharti aziwasilishe kwenye kamati ya maafa.

Embu nitajie ni kifungu kipi cha sheria ya maafa kinaeleza hivi ,nimekunukuu

"Pili sheria ipo clear unakusanya kwa niaba ya serikali so wahusika lazima wajue intentions zako mapema. Team ya serikali pekee ndio ina panga mipango ya intervention wengine mnaingia kwa muongozo wao"
Hi ni kwa mujibu wa kifungu kipi cha sheria hiyo au umejitungia tu maneno yako unavyojisikia.

Halafu mkuu mahakamani kuna kanuni muhimu sana kiingereza inaitwa "proof beyond reasonable doubt"
Yaani kosa lazima lionekane na lithibitishwe limefanyika .
Sasa unaposema "unawapasababu ya wao kutafsiri vyovyote wanavyotaka"

Sasa huo utakuwa ni uhayawani unajitafsiria tu unavyotaka wewe ili mradi umtie mtu hatia hata kama hana kosa .
Hiyo sio sawa.
Ukweli uelezwe kilichotakiwa ni huyo binti aachwe akusanye hiyo michango hadi mwisho na kumwangalia angefanya nini na hizo fedha .
Endapo ingetokea hajaziwasilisha serikalini kazitumia tofauti na sheria inavyoelekeza ndipo angekamatwa na kupelekwa mahakamani kushtakiwa kwa mujibu wa sheria..
Waziri Mkuu kakurupuka kaonyesha yupo yupo hajielewi .
Kwa mtazamo wangu huyo bint angwekewa surveillance chini ya financial intellegence unite , hawa jamaa wangejua amekusanya kiasi gani na amekitumiaje.
Sasa ndio angekamatwa.
Moja wapo ya mbinu za kijasusi za kukabiliana na uhalifu ni kuruhusu uhalifu ufanyike huku ukiwa unaufatilia.
Unapata taarifa kuna mtu anaelekea kufanya uhalifu flani sasa ili kupata ushahidi beyond reasonable doubt inabidi umuache hadi atekeleze uhalifu huo ndio unamkamata .
Mbinu hii ingeweza kabisa kutumika kwa Huyu binti ilitakiwa awekewe mtego wa namna hii. (mbinu hii inatumika kwenye makosa ya utapeli na wizi mdogomdogo)
Lazima angeingia kwenye 18 ila kwa hivi wameharibu ushahidi na wamemnasua.
wakati mwingine mtu anakuwa mjinga pasina yeye kujua ujinga wake ulivyo, sijui kuweka mitego ili umtie hatiani..ya nini yote hayo, serikali gani inategea watu wake ili iwafunge, km kinachohitajika ni kuelewesha tu utaratibu ulivyo..hawezi kuachiwa aendelee kukusanya wakati anachofanya kiko nje ya utaratibu uliowekwa..serikali haiweki mazingira ili watu wafanye uhalifu..inaelekeza utaratibu ulivyo kwa jambo husika hata kabla uhalifu haujafanyika au kuendelea kufanyika.
 
Kiongozi kuna namna nyingi za kutafsiri ‘written law’, lakini kusoma tu kifungu kidogo cha sheria na kukadhana nacho huko hakutomtendea haki mteja wako.

Msingi wa 35(2) kwenye sheria ya maafa unacholazimishia Niffer hana makosa kabisa, kipo chini ya ‘sehemu ya nne’ ya sheria husika inayosema kutakuwa na ‘mfuko wa usimamizi wa maafa wa taifa’ 34 (2e) inatambua source pia ni michango 34 (3) inakueleza wizara ndio inaongoza kitengo.

Section 35 inaelezea taratibu za ukusanyaji 35 (2) inatoa fursa kwa raia, 35 (3) inasema hela wanazokusanya raia na taasisi ziende wapi.

Sasa uwezi kujianzia michango wenyewe ujawapa habari ya lengo lako. Vinginevyo mpaka hapo unakuwa ushawapa ‘actus reus’ na kwa kuwa ujawambia wanaweza kukupa ‘motive’ zozote including utapeli.

Kuna namna nyingi za kusoma ‘written law’ amongst them ni ‘purposive approach’ sio kilichoandikwa tu, bali intentions ya hayo maandishi ilikuwa ni nini.

Binafsi sioni ya huyo binti kusota rumande kwa sababu waliokuwa wanafuatilia wanadai alikuwa open on the donated figures, ni swala la kuelimishana tu.
sawa, umeeleza vizuri, hebu niambie ni kifungu gani kinasema ili mtu achangishe fedha anahitaji kibali? ni adhabu gani atapewa kwa kutokuwa na kibali? kwahiyo sheria namba 6 ya 2022 kosa ni kutokuwakilisha michango ukisoma kifungu cha 36, hivyo kwa sheria ya maafa mtu hahitaji kibali kuchangisha fedha.
 
wakati mwingine mtu anakuwa mjinga pasina yeye kujua ujinga wake ulivyo, sijui kuweka mitego ili umtie hatiani..ya nini yote hayo, serikali gani inategea watu wake ili iwafunge, km kinachohitajika ni kuelewesha tu utaratibu ulivyo..hawezi kuachiwa aendelee kukusanya wakati anachofanya kiko nje ya utaratibu uliowekwa..serikali haiweki mazingira ili watu wafanye uhalifu..inaelekeza utaratibu ulivyo kwa jambo husika hata kabla uhalifu haujafanyika au kuendelea kufanyika.
ni sawa kabisa, ilitakiwa aeleweshwe na sio kumsweka ndani, huko sio kuelewashana
 
Ngoja nikujibu kama Mwigulu alivyojibu swali kama lako.

Kuna kitu kinaitwa Public Debt kwa tafsiri nyingine ni deni la serikali ,au deni la umma.
Hili ni deni ambalo serikali inadaiwa kutokana na kukopa au kupata huduma flani bila kulipa .
"Government Debt in Tanzania increased to 12161 USD Million in September from 12160 USD Million in August of 2024"

Sasa kuna watu ambao sio waelewa kama wewe wakasema kutokana na hilo deni kukua kila mtanzania anadaiwa karibia milioni2.

Mwigulu alijibu hoja hiyo kwamba kamwe haitatokea hata siku moja serikali itampigia hodi kila raia kumtaka alipe hilo deni hilo ni deni la serikali na sio wananchi yaani umma wa watanzania.
Kila kitu kina utaratibu wake ndugu hata kama kinaitwa public.
Neno Public /Umma usilichukulie kirahisirahisi kwamba eti ni mali ya umma randomly tu.
Hata Ikulu ni public office ila sio kwa tafsiri yako wewe kwamba umma ni kama kokolo flani linajumlisha kila kitu .
Hapana ndugu embu jaribu kujielewesha zaidi kwa kusoma vitabu vya miongozo ya taratibu za kiserikali, pamoja na sheria mbalimbali utaonheza uelewa wako.
Nimeku note uelewa wako ni wa finyu au mdogo sana
Hujui kitu chochote..jambo liko wazi unaleta nadharia ndeeefu za kipuuzi kwa kigezo cha sheria inasema nini, between lines can see sort of ignorance n stupidity!
 
Misibaa michango unapewa kibali na nani zile daftarie
msiba una utaratibu wakecwa kijamii, hawawezi wafiwa kwenda barabarani kuomba wapita njia mchango wa nsiba na hawamjui aliekufa na wala hawana uhusiano wowote na wafiwa. Uliwahi kuona msiba gani wakifanya hivo?

hua watu wanaofahamiana like marafiki, majirani, ndugu wa mbali na wakaribu, sababu wanauhusiano fulani. Sasa haya majanga au issue za kitaifa pia zina utaratibu wake wa kisheria, cas wakiachia kila mtu afanye anavotaka sjui kuchangisha mitandaoni nk si itakua vurugu kubwa? cas matapeli watatumia mwanya huo kujifanya kuchangisha kumbe wana plan zao za kujinufaisha. Wote wenye followers wengiv inta wakisema wachangishe bila utaratibu kutakalika? au ndo mtaibiwa hadi mshike adabu[emoji34]

tufate utaratibu guys, hasa kwenye issue za kitaifa
 
Back
Top Bottom