Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Umma nimemasnisha watuAcha kuchanganya madesa .
Nakuelewesha kwa kifupi kwani umeenda sipo.
Fedha ya umma ni fedha yeyote ambayo lazima ikaguliwe na mkagudhi na mdhibiti wa mahesabu ya serikali (CAG) hii ni sifa kuu ya fedha ya umma.
Hii michango anayokusanya huyu binti haiwezi kwa namna yeyote kukaguliwa na CAG .
Hizi fedha huyo binti wakati anazikusanya hazina sifa za kuitwa fedha za umma. (public finances ) kama sheria inavyoeleza maana ya public finances.
Hizi fedha huyo binti akishakwenda kuzikabidhi kwenye kamati ya maafa hapo ndio zinakuwa fedha za umma .
Unajichanganya sana ndugu unanifanya nielewe watanzania wengi kweli ni mambumbumbu wa sheria hata kama wanazijua hizo sheria hawajui zinatumikaje na wapi na katika muktadha upi.
Yaani kabisa una husisha public finances act na fedha anazochanga huyo binti.
Mkuu umeishusha hadhi sana public finance act hilo li lidude likubwa sana linalotoa muongozo wa fedha zote za serikali
Sheria imsfanus umma kama nani?