Njooni tusemezane. Sheria gani inakataza watu kuchangishana? Waziri Mkuu yupo sahihi kumkamata Niffer?

Njooni tusemezane. Sheria gani inakataza watu kuchangishana? Waziri Mkuu yupo sahihi kumkamata Niffer?

Hakuna kosa kama hilo eti la kutokusema nikichangisha fedha nitazikabidhi serikalini.
Kinachotakiwa ni kwamba ukishamaliza kukusanya michango hiyo ni kuiwasilisha tume ya maafa na si vinginevyo.
Ingetakiwa wamwache huyo binti akusanye hiyo michango halafu waone angefanya nini na hizo fedha .
Sasa hapo ndipo kungeweza kutokea kosa kama asingewasilisha michango hiyo kwenye kamati ya maafa.
Kwa sasa wamekurupuka na kuleta taharuki isiyo na ulazima kwenye jamii
watajuaje amekusanya how much? akikusana 100m akawaambia amekusanya 30m mtamfanya nini? shida yenu watanzania mnarahisisha sana vitu thats why mnakua wajinga cas hamchanganui jambo.

tumieni akili na mfate sheria
 
sawa, umeeleza vizuri, hebu niambie ni kifungu gani kinasema ili mtu achangishe fedha anahitaji kibali? ni adhabu gani atapewa kwa kutokuwa na kibali? kwahiyo sheria namba 6 ya 2022 kosa ni kutokuwakilisha michango ukisoma kifungu cha 36, hivyo kwa sheria ya maafa mtu hahitaji kibali kuchangisha fedha.
Hakuna sehemu niliyoandika unahitaji kibali kuchangisha.

Ukisoma section four yote ‘interested party’ yenye maslahi zaidi ni serikali, kwa ivyo kama unachangisha kwa niaba yao ni jukumu lako kuwataarifu, vinginevyo wanaweza kukuita tapeli na wakashinda kesi.
 
Hebu tupe orodha ya michango iliyokusanywa na serikali ikawafikia wahanga
Mbona unatapatapa andiko lako lilitaka kujua sheria aliyovunjwa sasa tena unatakakujua matumizi ya michango iliyopokelewa na serikali mimi siyo Msemaji wa Serikali nenda kamuulize Msemaji wa Serikali ila kama unataka kujua sheria iliyovunjwa kasome Sheria ya Usimamizi wa Maafa Namba 9 ya mwaka 2015 pamoja na sheria zingine kama Makosa ya Mitandao ya 2015 pia Penal Code zote hizo zitakusaidia kujua zaidi.
 
sawa, umeeleza vizuri, hebu niambie ni kifungu gani kinasema ili mtu achangishe fedha anahitaji kibali? ni adhabu gani atapewa kwa kutokuwa na kibali? kwahiyo sheria namba 6 ya 2022 kosa ni kutokuwakilisha michango ukisoma kifungu cha 36, hivyo kwa sheria ya maafa mtu hahitaji kibali kuchangisha fedha.
Mkuu ukitaka kujua vizuri sheria husika lazima usome madhumuni ya kutungwa kwa sheria husika pia kumbuka sheria moja inaweza kusomwa na sheria nyingine kwa pamoja hivyo adhabu ikapatikana kwenye sheria nyingine. Kwa mfano Niffer alichofanya ametumia mitandao katika ukusanyaji wa michango hiyo hivyo basi sheria ya Makosa ya Mitandao inahusika pia na pamoja na Penal Code.
 
Ngoja nikujibu kama Mwigulu alivyojibu swali kama lako.

Kuna kitu kinaitwa Public Debt kwa tafsiri nyingine ni deni la serikali ,au deni la umma.
Hili ni deni ambalo serikali inadaiwa kutokana na kukopa au kupata huduma flani bila kulipa .
"Government Debt in Tanzania increased to 12161 USD Million in September from 12160 USD Million in August of 2024"

Sasa kuna watu ambao sio waelewa kama wewe wakasema kutokana na hilo deni kukua kila mtanzania anadaiwa karibia milioni2.

Mwigulu alijibu hoja hiyo kwamba kamwe haitatokea hata siku moja serikali itampigia hodi kila raia kumtaka alipe hilo deni hilo ni deni la serikali na sio wananchi yaani umma wa watanzania.
Kila kitu kina utaratibu wake ndugu hata kama kinaitwa public.
Neno Public /Umma usilichukulie kirahisirahisi kwamba eti ni mali ya umma randomly tu.
Hata Ikulu ni public office ila sio kwa tafsiri yako wewe kwamba umma ni kama kokolo flani linajumlisha kila kitu .
Hapana ndugu embu jaribu kujielewesha zaidi kwa kusoma vitabu vya miongozo ya taratibu za kiserikali, pamoja na sheria mbalimbali utaonheza uelewa wako.
Nimeku note uelewa wako ni wa finyu au mdogo sana
Haha wewe una uelewa mkubwa sana

Sheria iko wazi inapinga swala lolote la maafa na ni jambo la kitaifa sio swala la kifamiliq, hairuhusiwi mtu kukusanya hela za maafa bila kupata kibali...


Shida wewe ni mjuaji unajifanya unajua sheria hata kwa jambo dogo kama hili halikuwa la kubishana sana

Ndio maana nilihoji, wewe umeoma alichofajya niffer sio kosa. Ila tumeona over the years kuna money marketing schemes kibao zimekuja zikakusanya hela na wakakimbia nchini, hii kwa sababu walisubiri watu waibiwe ichukuliwe hatua

Let me ask you something, intent to kill and man slaughter, are you saying that given circumstancial evidence the one with intent to kill won't be sued.

she didnt provide the names of people who donated money. And you are saying we needed to wait for her to finish accumulating the donation, then later we investigate

In deed you are very wise as you think

Tufanye umeshinda. I just woke up man, I am in no moody to argue today
 
Mkuu sheria ipo.. tembelea page ya malisa kaweka vifungu vya sheria na hatua za kufuata.
Mwisho naye kanclude kwamba hizi sheria watu hawazijui na watu walikuwa wanafanya kwa nia njema hivyo waelimishwe tu.
Tena kwenye issue ya majanga tena ndipo sheria imebana zaidi.
Kasimu angeamrisha hap waliochangisha wakakabidhi michango ofsin kwake.Ma majina ya wachangiaji na kiasi walichochanga
 
Mkuu ukitaka kujua vizuri sheria husika lazima usome madhumuni ya kutungwa kwa sheria husika pia kumbuka sheria moja inaweza kusomwa na sheria nyingine kwa pamoja hivyo adhabu ikapatikana kwenye sheria nyingine. Kwa mfano Niffer alichofanya ametumia mitandao katika ukusanyaji wa michango hiyo hivyo basi sheria ya Makosa ya Mitandao inahusika pia na pamoja na Penal Code.
Inatakiwa Men's rea.Actus reus IPO na men's rea vipi?
 
watajuaje amekusanya how much? akikusana 100m akawaambia amekusanya 30m mtamfanya nini? shida yenu watanzania mnarahisisha sana vitu thats why mnakua wajinga cas hamchanganui jambo.

tumieni akili na mfate sheria

Ungekuwa unajua kwamba serikali ina kitengo kinaitwa financial intelligence unit na kazi ya hicho kitengo usingekoment hayo mashudu uliyokoment.
Hao jamaa wanauwezo wa kujua transactions za fedha zote zinazofanyika haoa nchini zinazofanyika kupitia benki au simu
Tatizo unajifanya mjuaji wakati hujui
 
Mbona unatapatapa andiko lako lilitaka kujua sheria aliyovunjwa sasa tena unatakakujua matumizi ya michango iliyopokelewa na serikali mimi siyo Msemaji wa Serikali nenda kamuulize Msemaji wa Serikali ila kama unataka kujua sheria iliyovunjwa kasome Sheria ya Usimamizi wa Maafa Namba 9 ya mwaka 2015 pamoja na sheria zingine kama Makosa ya Mitandao ya 2015 pia Penal Code zote hizo zitakusaidia kujua zaidi.
Jibu hoja
 
PM yupo sahihi kila mtu akisema anachangisha .. ni mwanya wa utapeli "tuma kwenye namba hii" kitengo cha maafa kipo chini ya ofisi ya waziri mkuu na yanapotokea maafa yoyote utaratibu wa kusaidia utatoka chini ya ofisi yake kupitia katibu mkuu... Ni kiasi cha kufuata utaratibu tu ... Bila utaratibu ni machafuko
Lin kimesaidia umma Hiko kitengo? hv hujasoma hata thread ya jamaa mwisho Katia nyundo
 
Nawaamkua nyote

Tarehe 17 Novemba 2024, Waziri Mkuu akiwa eneo la Kariakoo kukagua zoezi linaloeneelea la uokoaji wa waliokwama chini ya kifusi cha ghorofa iliyoanguka. Alitoa maagizo kwa jeshi la polisi kumkamata Mtanzania aitwaye Niffer ambaye kupitia mitabdaoni alitoa taarifa kuwa amechangisha pesa za za kuwahani wahanga wa ajali ya ghorofa. kuna mambo kadhaa ya kuangazia hapa
  1. Niffer ametoa taarifa ya kuchangisha na kuelezea kiwango alichokikusanya
  2. Waziri Mkuu ameipokea taarifa ya Niffer kama vile anapokea briefings za kiuchunguzi
  3. Waziri Mkuu anatoa agizo la kukamatwa na kuhojiwa Niffer ili aeleze nani kamruhusu kuchangisha tarehe 17 Novemba 2024
  4. Tarehe 18 Novemba 2024, waziri Mkuu anaelekeza polisi wamhoji mmiliki wa jengo lililoanguka. Agizo hilo limekuja baada ya wananchi kuhoji alipo mmiliki wa jengo na kama hajakamatwa tangu siku ya jengo kuanguka.
  5. Jengo limeanguka ahsubuhi saa tatu halafu Mkuu wa Mkoa na vikosi vya uokozi wanafika eneo la tukio saa nane mchana. Hilo jambo halijamkera Waziri Mkuu
Naomba kufahamu, sheria gani imevunjwa ama kukiukwa na Niffer kuchangisha fedha ambapo si mara ya kwanza kuchangisha na kuwasilisha kwa walengwa?

Naomba kufahamu. Ni michango gani ya wahanga iliyolusanywa kupitia serikali na ikawasilishwa kwa walengwa? Nakumbuka michango ya tetemeko la ardhi Kagera ilikusanywa na walengwa hawwkuambulia senti. Vivyo hivyo mafuriko Morogoro wahanga waliishia kusikia redioni michango ambayo haikuwafikia.

Waziri Mkuu atueleze. Matumizi ya fedha za dharurq na majanga chini ya ofisi yake zimetumikqje tangu aingie ofisini?

Kweli ITATUWEKA HURU
Hata kama hakuna sheria hiyo ni dhahiri kuna deficit kubwa ya matapeli kuwaibia wananchi. Sasa sheria hiyo itatungwa na bunge na matapeli watadhibitiwa.

Cloud waliibia sana watu wakati wa maafa kilosa. Acha kutetea wezi kwa kutumia loop holes za kijinga na kipumbavu. Be serious and smart guy.
 
Back
Top Bottom