Messier 31
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 459
- 1,117
Wewe ndo miongoni mwa lile jeshi la Niffer (zombie wake)Embu peleka upumbavu wako huko hiyo sheria haikatazi mtu mwingine kukusanya michango.
Watu wanaweza kukusanya ila wanatakiwa waiwasilishe kwenye kamati ya maafa.
Sasa huyo binti si alikuwa anawasaidia kukusanya halafu awapelekee.
Kimsingi Kasimu Majaliwa kachemsha sana kwenye hiyo ishu kwa kutoa agizo la ajabu na hovyo kabisa AMEKURUPUKA
Unless otherwise wangemsubiri akusanye na asingeziwasilisha kwenye kamati ndio wamkamate.
Vifungu vya sheria unavyo lakini hata akili ya kuvielewa huna.
Onyesha sehemu palikoandikwa kwamba mtu binafsi anaruhusiwa kukusanya michango kwenye maafa ya kitaifa kupitia account zake binafsi kwa lengo la kwamba ataiwasilisha kwenye kamati.