Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Sahihi kabisa, ni vitu viwili tofauti kabisa kuvilinganisha, na biashara ya sekta tofauti pia!Hapo hakuna ulinganifu. Bei ya tractor na Bajaj ni tofauti.
Labda utuambie kwanza una mtaji sh. Ngapi? Sababu hata power tiller ni tractor ukiachana na Massey.