Tetesi: Nkasi: Mkuu wa wilaya aamuru wananchi kupewa adhabu na wanajeshi

Tetesi: Nkasi: Mkuu wa wilaya aamuru wananchi kupewa adhabu na wanajeshi

Status
Not open for further replies.
Juzi nimecheka kiongozi wa mbio za mwenge nae ametoa siku Saba Sijui nini kiwe kimefanyika kwenye iyo wilaya fulani nimeisahau,,niliona kwenye gazeti la MWANANCHI
 
Wameshalewa madaraka. Hao ndiyo CCM (CHAMA CHA MAJAMBAZI)
 
Bora Dar kuna afadhali ya mamlaka ya hawa waliolewa madaraka.....mikoa mingine mambo sio mazuri
 
Kuna siku nilikuwa wilaya ya Nkasi, huyu DC akishirikiana na kikosi cha wanajeshi walishusha wasafiri kwenye mabasi na kuwaamuru kufagia eneo linalozunguka stendi. Eti ni jumamosi ya mwisho wa mwezi ambayo ni siku ya usafi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
OMG

Na huyu tena... hawa viongozi wengine duuuuuuu wamezidi... huyu hapana sio binadamu. Yaani kazi ya kujitolea ndio analazimisha.. hapana aiseeee hao lazima wameugua.. kisa kutafuta kiki lazima pesa anaweka mfukoni huyo. Ni mnyama
 
OMG

Na huyu tena... hawa viongozi wengine duuuuuuu wamezidi... huyu hapana sio binadamu. Yaani kazi ya kujitolea ndio analazimisha.. hapana aiseeee hao lazima wameugua.. kisa kutafuta kiki lazima pesa anaweka mfukoni huyo. Ni mnyama
Malizia na "... Oyeeeee"

Ndio tutakupata
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom