Tetesi: Nkasi: Mkuu wa wilaya aamuru wananchi kupewa adhabu na wanajeshi

Status
Not open for further replies.
Malizia na "... Oyeeeee"

Ndio tutakupata

Hapana aiseeee
Oyeeee yangu uenda kwa RC na unajua yeye hana roho mbaya kabisaaa. Huyo DC bomu bomu anatia aibu uongozi wa awamu hii.
 
Huyu tumuite dicteta ...., madaraka yenyewe hayadumu hajui kama kunamaisha baada ya kesho.
Yaan cjui viongozi wengine wakoje hapo wanawaonea wananchi jamanii
Utafkiri ana guarantee ya kuongoza muhula ujao
 
Hawa wakuu wa wilaya awamu hii sijui wameokotwa wapi maana akili zao hazina tofauti na vichaa.
 
Hadi sasa sijafanikiwa kuona comment angalau moja tu ya mpumbavu anaye support alichokifanya huyo DC. Hongera sana JF members kwa kupinga uonezi huu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana aiseeee
Oyeeee yangu uenda kwa RC na unajua yeye hana roho mbaya kabisaaa. Huyo DC bomu bomu anatia aibu uongozi wa awamu hii.
Usimsahau na yule wa juzi aliye mcharaza viboko mzazi wa mtoto aliye vunja kioo cha gari yake kwa jiwe eti kisa mzazi huyo kashindwa kumpa malezi bora mtoto huyo aiseee!
 
OMG

Na huyu tena... hawa viongozi wengine duuuuuuu wamezidi... huyu hapana sio binadamu. Yaani kazi ya kujitolea ndio analazimisha.. hapana aiseeee hao lazima wameugua.. kisa kutafuta kiki lazima pesa anaweka mfukoni huyo. Ni mnyama
Kuna MTU amehack hii account!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kidamva, hili uliloongelea ni tukio la kweli na kuna mtu aliliweka Mods wakaliondoa kwa kukosa uthibitisho. Alivyoona hilo limepita amezua jipya sasa na anaotumia ni wanajeshi hao hao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kujitolea maana yake si kufanya kitu kwa mapenzi yako, sasa Tanzania kujitolea imekuwa lazima basi waache kutumia neno kujitolea watumie lazima.
Mfano walimu wanakatwa makato mara ya mwenge mara ya nini na bado serikali inadai wanajitolea
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…