The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Practically, hao ndiyo waliomkamata. DC alikwenda kwa ajili ya publicity tu.Hizi nafasi za Ukuu wa Wilaya hazina maana kabisa,hiyo kazi ya kukamata ingeweza kufanywa na Mkuu wa kituo tena akishirikiana na Balozi wa nyumba kumi.