Nkasi: Peter Lijualikali amdaka Mwalimu aliyemuoa Mwanafunzi na kuishi nae Nyumba za Shule

Nkasi: Peter Lijualikali amdaka Mwalimu aliyemuoa Mwanafunzi na kuishi nae Nyumba za Shule

Hizi nafasi za Ukuu wa Wilaya hazina maana kabisa,hiyo kazi ya kukamata ingeweza kufanywa na Mkuu wa kituo tena akishirikiana na Balozi wa nyumba kumi.
Practically, hao ndiyo waliomkamata. DC alikwenda kwa ajili ya publicity tu.
 
Lijuakali ni Mkuu wa wilaya? Ccm Kweli Mbele kwa Mbele!
 
Tuangalie wapi tumejikwaa sio tulikodondokea!tuna adhabu ya 30yrs jela kuhusu ubakaji,je sheria hii imeondoa au kupunguza tatizo?tuna death sentence ndani ya sheria zetu ,je adhabu hii imeleta tija?,adhabu ya kifo ni barbaric LAZIMA tuifute pamoja na zingine,elimu kwa wote hasa mtoto wa kike na kiume kujitambua ndio muhimu hapa.
Hii habari itapata airtime kwa kuwa mhusika ni mwalimu.

Ukweli ni kwamba Rukwa (mjini na vijijini) watoto kuanzia 11 YRS WANAOLEWA 'RASMI' - mahari na sherehe za kijamii.

Ukiangalia kwa karibu hata jina la mwanaume - Mwanakulya - ni mwenyeji wa huko.

Mbaya zaidi, kuna matukio kibao ambapo mwoaji na mwolewaji ni under 18 YRS (mtoto anamwoa motto),na jamii inashangilia.

Hizi sheria zinazotungwa na kupitishwa kwa nguvu ya activists zimeonyesha walakini
 
Back
Top Bottom