Tuangalie wapi tumejikwaa sio tulikodondokea!tuna adhabu ya 30yrs jela kuhusu ubakaji,je sheria hii imeondoa au kupunguza tatizo?tuna death sentence ndani ya sheria zetu ,je adhabu hii imeleta tija?,adhabu ya kifo ni barbaric LAZIMA tuifute pamoja na zingine,elimu kwa wote hasa mtoto wa kike na kiume kujitambua ndio muhimu hapa.