LGE2024 Nkasi: Wanaodaiwa kutumwa na DC kulipua nyumba ya Mbunge Aida Kenani wakamatwa. Walitumia ‘pikipiki za Samia’

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Huyu rais pamoja na kupata urais wake Kwa muserereko lakini Hana shukrani kabisa Hadi ameamua kufadhili magaidi ya kuuwa wapinzani Kwa kutumia pikipiki alizowahonga hao magaidi.hatari sana Huyu kibibi.anatakiwa adhibitiwe Kwa nguvu zote .
 
Hao ni wahalifu na inatakiwa wachukuliwe hatua za kisheria. Hao watoto wa maskini waache upuuzi wa kutumika kwenye maovu. Kama kweli DC aliwatuma atakuwa ni DC mpuuzi kama yule Naibu waziri Mollel. Isitoshe mbunge Kenani ni mtu mwenye siasa safi kiasi kwamba ni ngumu kuwa na uhasama na mtu.
 
Kukamatwa kwao kutakuwa kumesababishwa na juhudi za wananchi wenyewe,tofauti na hapo tungeambiwa kuwa nimeagiza vyombo vya usalama vichunguze halafu mambo yanaishia hapohapo.
 
Mashujaa kwa nani yaani CCM iangaike na mmbunge mmoja tu wa CDM wa kuchaguliwa.

Hao ni wahuni tu wanaotumia resources za chama kufanya uhalifu na sijui aliewatuma nani.

Kamwe siasa za kuumizana sio desturi ya CCM.
CCM hii iliyomteka na kumwua Ally Kibao, iliyomteka na kumpoteza Soka na wenzake, halafu isiwe na desturi ya kutesa watu? Kuteka na kuua siyo mateso?
 
Huyo DC mpaka muda huu bado yupo ofisini? Huyu atumbuliwe kabla hakujakucha na afunguliwe kesi ya uhaini
Akifunguliwa iyo kesi nachoma vyeti vyangu kuanzia Cha kuzaliwa,,ubatizo ,kipa imara, Cha darasa la sana,form 4 ,form 6, degree,mpka vyeti vya clab kama mali hai,PCCB, yaan vyeti vyote
 
Yule mwamba ndiyo mpinzani wa kweli inaonekana wazi, acheni propaganda chafu dhidi yake wakati vibaraka afrika wanajulikana wazi matendo yao
 
Ndiyo inayo dhamana alafu hiyo siyo Arson, Arson ni kuchoma nyumba moto na hao hawajachoma nyumba yoyote moto hadi muda huo kwahiyo hawawezi kushtakiwa kwa kosa hilo
Murder na intention to murder vina tofauti?
 
Weee mgeni sana kwenye ili dud
Mashujaa kwa nani yaani CCM iangaike na mmbunge mmoja tu wa CDM wa kuchaguliwa.

Hao ni wahuni tu wanaotumia resources za chama kufanya uhalifu na sijui aliewatuma nani.

Kamwe siasa za kuumizana sio desturi ya CCM.
E
Kwanini Mnyika amekimbia wito wa jeshi la polisi?

Akili kichwani ‘bi-tozo’
Hata kama ni mm siendi maana unapoteza muda tuu ,mbona sativa alishawataja walio muumiza na Bado wapo? Mbona Lissu alishataja waliohuska na jaribio la mauaji yake na hakuna kitu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…