Bwabwa katika ubora wakouseless na nonsense mayhem itakuhenyesha mno gentleman na huna point![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwabwa katika ubora wakouseless na nonsense mayhem itakuhenyesha mno gentleman na huna point![]()
tuansonga mbele pamoja kama taifa, ukizubaa hakuna wa kubabaika wala kuhangaika na ubabaifu wako gentlemanila ajabu wanaoendelea zaidi cmm na feeder zake.

Halafu anasema ameua sisimizi tu. Ila malipo ni hapa hapa atakuwa na mwisho mchungu sanaKama wametumwa na DC mathematically wametumwa na Rais.. maana DC anamuwakilisha Rais kwenye hiyo wilaya
Pumbavu zenu watu wa Nkasi! Mnasubiri polisi wa nini?Police wamefika na Kuwachukua Vijana hao kwa hatua zaidi.
Mmewaachia wa nini? CHADEMA ndiyo maana mnadharaulika na ma-ccm! Mlitakiwa leo mtoe fundisho!Hizi ndio mbinu zao za muda wote, Poor ccm!!
Malipo ni hapa hapaHalafu anasema ameua sisimizi tu. Ila malipo ni hapa hapa atakuwa na mwisho mchungu sana
Hizo tuhuma zingehusu vijana wa chadema kwanza wangula kichapo kikali kicha kugawanywa na kuwazungusha mkoa mmoja baada ya mwingine vituo vya polisi wakisubiri amri kutoka juuTaarifa kamili hii hapa
View attachment 3162606View attachment 3162607View attachment 3162608View attachment 3162609View attachment 3162610View attachment 3162611
Vijana waliovalia Sare zenye nembo ya Chama cha Mapinduzi kama wanavyoonekana kwenye Picha wamevamia Nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Nkasi kaskazini Mkoani Rukwa Mhe. Aida Kenani vijana hao walikuwa na Dumu la Mafuta ya Petrol vijana hao wamebanwa na wengine kuwekwa chini ya ulinzi na walipoulizwa wanadai kwamba wametumwa na Mkuu wa wilaya ya Nkasi.
Pia soma: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Police wamefika na Kuwachukua Vijana hao kwa hatua zaidi.
Viongozi wa Chadema Jimbo la Nkasi Kaskazini, Wagombea pamoja na Mawakala walikuwa na Kikao Jioni ya leo Nyumbani kwa Mbunge Mhe. Aida kenani.
Piga kama paka mwiziTaarifa kamili hii hapa
View attachment 3162606View attachment 3162607View attachment 3162608View attachment 3162609View attachment 3162610View attachment 3162611
Vijana waliovalia Sare zenye nembo ya Chama cha Mapinduzi kama wanavyoonekana kwenye Picha wamevamia Nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Nkasi kaskazini Mkoani Rukwa Mhe. Aida Kenani vijana hao walikuwa na Dumu la Mafuta ya Petrol vijana hao wamebanwa na wengine kuwekwa chini ya ulinzi na walipoulizwa wanadai kwamba wametumwa na Mkuu wa wilaya ya Nkasi.
Pia soma: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Police wamefika na Kuwachukua Vijana hao kwa hatua zaidi.
Viongozi wa Chadema Jimbo la Nkasi Kaskazini, Wagombea pamoja na Mawakala walikuwa na Kikao Jioni ya leo Nyumbani kwa Mbunge Mhe. Aida kenani.