SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ficha aibu yako,huijui CCM.Mashujaa kwa nani yaani CCM iangaike na mmbunge mmoja tu wa CDM wa kuchaguliwa.
Hao ni wahuni tu wanaotumia resources za chama kufanya uhalifu na sijui aliewatuma nani.
Kamwe siasa za kuumizana sio desturi ya CCM.