Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo mbona imeshajulikana hata kama wenyewe wanajibaraguza kwamba uchaguzi upo!!Kimsingi hakuna uchaguzi
Acha uchochezi wanasema wamejitoa kwenye Uchaguzi wa kihuniR.I.P Makaidi...ulisalitiwa na ma-ukawa
Toa jina arsenal we mbogambogaWagombea wao walichukua form Lin ? Yale Yale ya Chaumma
Wewe ni msajili?Kina ofisi mikoani, wilayani tarafani na katani?!!
Jibu swali au kaa kimya!Wewe ni msajili?
muulize msajili wa vyama .,. ambaye ni baby seater and spoon feeder wa ccmKina ofisi mikoani, wilayani tarafani na katani?!!
We ni mjinga hujui madhara yake wanaongeza namba hata kama havina wanachama.Kuna baadhi ya vyama vinaonekana kwenye kujitoa tu,sijawahi kuona activities zake hata siku moja, anyway ngoja tuendelee kuenjoy na Tz yetu
Fara Wee this jf sio lumumba forum Mbwa weweJibu swali au kaa kimya!
Mbwa mama mkomavu bwashee!Fara Wee this jf sio lumumba forum Mbwa wewe
😆😆😆😆Swali lako ni zuri sana , lakini majibu anayo Mutungi
Asante mwelevuWe ni mjinga hujui madhara yake wanaongeza namba hata kama havina wanachama.
Mkuu hiki chama si kilizikwa pamoja na mwenye chama Mzee Makaidi,halafu hiki chama ilikuwa kama SACCOSS ya Mzee makaidi pale nyumbani kwake Sinza,mwishowe utakuja kusema nae Hashim Rungwe kasusia uchaguzi wakati hata mke wake hakumchagua,vyama vingine ni sawa na genge la mama ntilie,akiwepo Miriam Biriani nao wateja watakuwepo,asikuwepo basi genge limekufa,mkuu unavyofananisha hivi vyama uchwara vya NLD na Rungwe ni sawa na kulinganishahotel Shibam pale magomeni na Serena HotelView attachment 1262350
Wataalam wa kuhesabu na kujumlisha wanasema mpaka sasa hiki ni chama cha 7 kutangaza kutoshiriki uchaguzi.
Unalalamika , unalia au unaandika ?Mkuu hiki chama si kilizikwa pamoja na mwenye chama Mzee Makaidi,halafu hiki chama ilikuwa kama SACCOSS ya Mzee makaidi pale nyumbani kwake Sinza,mwishowe utakuja kusema nae Hashim Rungwe kasusia uchaguzi wakati hata mke wake hakumchagua,vyama vingine ni sawa na genge la mama ntilie,akiwepo Miriam Biriani nao wateja watakuwepo,asikuwepo basi genge limekufa,mkuu unavyofananisha hivi vyama uchwara vya NLD na Rungwe ni sawa na kulinganishahotel Shibam pale magomeni na Serena Hotel
Vipi vile vyama 11 vilivyotangaza kwamba vinashiriki, unakumbuka wao wagombea wavyo walichukua form za kugombea lini?Wagombea wao walichukua form Lin ? Yale Yale ya Chaumma
Kamanda ni kweli huijui CCM?Vile vilivyoamua kushiriki uliwahi kuziona "Activities" zake?