Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
ππππππππ SaaaanaaaaUmefurahi mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππππ SaaaanaaaaUmefurahi mwenyewe
Hizi teknolojia zimefanya uchepukaji uwe mgumu sana wakati mwinginePengine ushahidi unahitajika mahakamani babuuπππ€
Mzee wahovyoHizi teknolojia zimefanya uchepukaji uwe mgumu sana wakati mwingine
Uki- mess up kidogo unaletewa hadi ushahidi wa Picha za mnato π
Sisi miaka yetu ilikuwa mnakutana shambani ama mtoni akienda kufua nguo π
πππππHizi teknolojia zimefanya uchepukaji uwe mgumu sana wakati mwingine
Uki- mess up kidogo unaletewa hadi ushahidi wa Picha za mnato π
Sisi miaka yetu ilikuwa mnakutana shambani ama mtoni akienda kufua nguo π
Umenikumbusha hiyo kauli ya Ubwabwa wa shingo πMimi mdogo hata ubwabwa Wa shingo haujanitoka
Kiufupi Bado najitunzaπ₯²
Mpaka useme....πππππSijapentaaaππ
Yaani mzungu hataki kusema eti aliyekutwa na mchuzi ndiyo amekula nyamaπππππ
Hapo bado mtu hajakuwekea kile kiApp cha kuspy yaani full tafrani
Jaribu kubadili Simu, weka hiyo line kwenye simu nyingine download WhatsApp uko ikishakuja, fungua halafu ifute,. Halafu rudisha tena line kwenye simu yako download upyaMimi sipati confirmation code wiki Sasa inakata
Kila nikijaribu naambiwa nijaribu baada ya 1hr,situmiwi code kwa SMS wala kwa call.
Nikiclear storage na cache niaaze upya tatizo no hilohiloView attachment 2998218
Msaada
Weeeeh yote haya ulijulia wapi ...Jaribu kubadili Simu, weka hiyo line kwenye simu nyingine download WhatsApp uko ikishakuja, fungua halafu ifute,. Halafu rudisha tena line kwenye simu yako download upya
Wee acha tu aiseeπππWeeeeh yote haya ulijulia wapi ...
Ulikua unafanya nini ππππ
Mweeeeh dhambi ..Wee acha tu aiseeπππ
Wanadam wanatufanya tuhangaikeπ€π
Yaani ukizubaa unaweza kuta anakuonyesha hadi connection yako, mnaanza kugombana na uliyekua nae amekurekodi kumbe muhusika alichukua tukio akiwa miguu juu anangalia TV nyumbani π€π€πππYaani mzungu hataki kusema eti aliyekutwa na mchuzi ndiyo amekula nyama
Kwa teknolojia hiyo unaweza kukuta ile umelipia Chumba cha hotel tu, Waifu wako nyumbani anapata ujumbe kuonesha hadi Chumba utakachoingia π
Bora tumezeeka tu π
Ajaribu tu anaweza akafanikiwaπππMweeeeh dhambi ..
πππππ
Naona upo na jamaa bega kwa bega unampa njia tano tano aiseeeee
Mpaka useme....πππππ
Weee si umeambiwa hapo ufute cache sijui πππππππ
Au ujaijua cache ndio nini...mana hili neno na mi selewi hapa
Huwezi kuelewa coz ur poor brainππMpaka useme....πππππ
Weee si umeambiwa hapo ufute cache sijui πππππππ
Au ujaijua cache ndio nini...mana hili neno na mi selewi hapa
Hahaha.......hiyo hatari Mjukuu πYaani ukizubaa unaweza kuta anakuonyesha hadi connection yako, mnaanza kugombana na uliyekua nae amekurekodi kumbe muhusika alichukua tukio akiwa miguu juu anangalia TV nyumbani π€π€πππ