Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Heshima sana wanajamvi,
Bank ya NMB ilifungua tawi (Branch) kwaajili ya wafanyabiashara (makampuni).
Jambo la kusikitisha siku hizo walimu,vibarua washona viatu,wauza ushanga,wauza mbege . ... wamejazana katika tawi hili ambalo lilikusudiwa kutoa huduma kwa makampuni.
Foleni zimekuwa kero kubwa mno.Unakuta mtu kaja kuchukua tsh 20,000 anakuchelewesha unayetaka kufanya transaction ya 500 million.Huu ni ujinga na ushamba wa kiwango cha lami.
Hongera CRDB tawi lenu Premier tunajinafasi vya kutosha.
Bank ya NMB ilifungua tawi (Branch) kwaajili ya wafanyabiashara (makampuni).
Jambo la kusikitisha siku hizo walimu,vibarua washona viatu,wauza ushanga,wauza mbege . ... wamejazana katika tawi hili ambalo lilikusudiwa kutoa huduma kwa makampuni.
Foleni zimekuwa kero kubwa mno.Unakuta mtu kaja kuchukua tsh 20,000 anakuchelewesha unayetaka kufanya transaction ya 500 million.Huu ni ujinga na ushamba wa kiwango cha lami.
Hongera CRDB tawi lenu Premier tunajinafasi vya kutosha.