NMB badilikeni

NMB badilikeni

Mark issa

Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
58
Reaction score
31
Imekuwa kawaida watu kukaa kwenye foleni pasipo sababu za msingi, katika hili mnatukwaza wateja wenu.
Bank ina madirisha yakutolea huduma hata 4 lakini unakuta hakuna dirisha hata moja linalofanya kazi na wakijitahidi sana ni dirisha moja ndio utakuta linafanya kazi.
Badilikeni katika hili, hii ni dharau kubwa kwa wateja wenu
Unakwenda bank unakaa masaa kadhaa dakika kadhaa 😏😏😏😏kweli huu ni upuuzi!!!😒😒😒😒
 
Hao Ni Sikio La Kufa Halisikii Dawa
 
Back
Top Bottom