Nimemwambia mtu anitumie pesa kwenye akaunti yangu ya NMB. Baada ya nusu saa naangalia Salio hakuna pesa iliyoingia.
Nikamwambia aliyenitumia akasema anewapigia wamemwambia nisubiri masaa mawili pesa itaingia. Upuuzi Gani huu? Au tutumie mitandao ya simu tuwaache na upuuzi wenu?
Nikamwambia aliyenitumia akasema anewapigia wamemwambia nisubiri masaa mawili pesa itaingia. Upuuzi Gani huu? Au tutumie mitandao ya simu tuwaache na upuuzi wenu?