NMB & CRDB haya mambo mtaweza??

NMB & CRDB haya mambo mtaweza??

Advance kwenye technology hatuwezi kuwazidi Kenya bado sana sisi..
Wenzetu wanauthubutu mkubwa na wanawapa chance sana private company waonyeshe uwezo..
kweli sasa hawa crdb na nmb wanapata wap jeuri si wajifunze
 
Back
Top Bottom