Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Inachukua mpaka masaa mawili pindi unapohitaji kuongea na watoa huduma kwa wateja, je shida ipo wapi?
Uchache wa watoa huduma au ni uzembe wa watoa huduma?
Au kuna tatizo kwenye kituo cha huduma kwa wateja?
Ni NMB BANK
Uchache wa watoa huduma au ni uzembe wa watoa huduma?
Au kuna tatizo kwenye kituo cha huduma kwa wateja?
Ni NMB BANK