NMB huduma kwa wateja inakawia sana tatizo lipo wapi?

NMB huduma kwa wateja inakawia sana tatizo lipo wapi?

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Inachukua mpaka masaa mawili pindi unapohitaji kuongea na watoa huduma kwa wateja, je shida ipo wapi?

Uchache wa watoa huduma au ni uzembe wa watoa huduma?

Au kuna tatizo kwenye kituo cha huduma kwa wateja?

Ni NMB BANK
 
Back
Top Bottom