NMB kupata faida inayovunja rekodi zote ya TZS 775 bilioni ni matokeo ya Sera chanya na rafiki za kibiashara za Rais Dkt Samia Suluhu Hassan

Stanbic na Standard ndo benki bora maana wao hawafanyi kazi na serikali ila faida yao inaeleweka
 
Wako huu ni uongo kutoa pesa NMB is the cheapest
 
Wako huu ni uongo kutoa pesa NMB is the cheapest
Boss nakuomba ukienda kwa wakala angalia Tarrifs za makato kisha linganisha angalia katika zile Board zao wamebandika ukutani angalia CRDB na NMB kisha utaleta mrrjesho
ukitaka Benk Cheap tumia azania, Equity, Exim na DTB hizo ndio Bank Cheap upande wa makato mimi ni WAKALA nina huduma zote ninaongea ninachokiona binafsi natumia Azania Bank na EQUITY ndio ni rafiki
 
hivi kuna updates zozote kuhusu nmb scholarship foundation
 
NMB Sasa akaunti ni buku tu
 
Akili kisoda wewe. Kama hujui pato la NMB linapandaje nyamaza. Huyo mamako ana nini zaidi ya kutunyonya Watanzania?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…