Mande Adili
New Member
- Dec 27, 2018
- 1
- 5
Kuna dada pale enzi za korona alikua mjamzito alikua na mafua mazito. Alikua na roho mbaya hadi wateja wakawa wanamkwepa. NMB baadhi ya watu hawaitaki kabisaNenda branch ya tandika Mkuu hapo miyeyusho sana yaani Kuna mdada mmoja ana kaaga hapo ndani meza ya kwanza nilizinguana nae eti ataki niongee na simu ndani kwani mie mwizi wakati mie nimekuja kutoa pesa zangu nisepe wanazingua sana hapo
Pale miyeyusho sana mkuu wanazingua sanaKuna dada pale enzi za korona alikua mjamzito alikua na mafua mazito. Alikua na roho mbaya hadi wateja wakawa wanamkwepa. NMB baadhi ya watu hawaitaki kabisa
Wanajikuta lile jengo nimali yao na hela zote ndio wamiliki kumbe za watu. Eti hela za bukubuku na buku mbilimbili hawachukui. Yani wale ni keroPale miyeyusho sana mkuu wanazingua sana
Wazinguaji sanaWanajikuta lile jengo nimali yao na hela zote ndio wamiliki kumbe za watu. Eti hela za bukubuku na buku mbilimbili hawachukui. Yani wale ni kero