Champion tz
Member
- Aug 31, 2018
- 11
- 7
Kamisheni inaonekana ndogo. Hiyo changamoto IPO Ina miez kadhaa sasaNMB huduma za kibenki kupitia kwa mawakala imekuwa ni changamoto.
Unaweza kwenda kwa mawakala hata 5 mfululizo, kila mtu atakuambia mara huduma hamna, mashine hamna etc.
Sijui shida ipo kwa nani.
Yaani kama una shida ya haraka na hela yako lazima ukione cha moto, ukiachilia mbali ATM zenyewe zilivyo chache.
Mnajibrand sana huduma zenu lakini huko kwenye uhalisia ni madudu.
Utakuta bango hapo nje ila ndani hawana huduma. Mimi nahisi labda hawapati maslahi mazuri ndio maana pia wanazikimbia maybe.kwamba kwa wakala Mashine hamna?[emoji848]