Champion tz
Member
- Aug 31, 2018
- 11
- 7
NMB huduma za kibenki kupitia kwa mawakala imekuwa ni changamoto.
Unaweza kwenda kwa mawakala hata 5 mfululizo, kila mtu atakuambia mara huduma hamna, mashine hamna etc.
Sijui shida ipo kwa nani.
Yaani kama una shida ya haraka na hela yako lazima ukione cha moto, ukiachilia mbali ATM zenyewe zilivyo chache.
Mnajibrand sana huduma zenu lakini huko kwenye uhalisia ni madudu.
Unaweza kwenda kwa mawakala hata 5 mfululizo, kila mtu atakuambia mara huduma hamna, mashine hamna etc.
Sijui shida ipo kwa nani.
Yaani kama una shida ya haraka na hela yako lazima ukione cha moto, ukiachilia mbali ATM zenyewe zilivyo chache.
Mnajibrand sana huduma zenu lakini huko kwenye uhalisia ni madudu.