KERO NMB uhakiki mnatutesa

KERO NMB uhakiki mnatutesa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Karibu CRDB boss ukifika tu kwanza kama ww n mdau wao mkubwa unaitwa chumba special na kahawa unatengewa unagonga vitu vyako taaratibu
 
Shida wabongo husubiri hadi dakika za mwisho ndiyo wajitokeze,ni toka July wanatuma hizo SMS za uhakiki.
 
Siendi na siku wakizuia huduma ndio siku nahama, dunia ya leo unaniita kuhakiki kitu gani huko benki, wangetoa maelezo online wanaoshindwa ndio wasogee kwenye matawi,
acc nimesajili mwaka jana na kitambulisho cha nida activity zote wanazijua kisha wakanisimamishe masaa mawili kwa foleni
Foolishness
 
Huu ni upuuzi, yaani kuhakiki akaunti miaka hii mpaka tukapange foleni?

Biometrics na taarifa zote wanazo, wachohakiki ni nini?

Waifunge akaunti yangu naachana na masuala ya benki.
Shida ya local Banks
Mambo yao ni local always
Huwezi kukutana na upuuzi huu Kwa bank zinazojielewa kama Absa,NBC au standard chartered
 
Karibu CRDB boss ukifika tu kwanza kama ww n mdau wao mkubwa unaitwa chumba special na kahawa unatengewa unagonga vitu vyako taaratibu
Hawa nao hamna kitu
Bank za Tanzania Kwa ujumla ni hovyo bado
Unaenda bank ,madirisha ya kutolea huduma yapo matano ila uenye wahudumu ni mawili, unakaa foleni saa tatu
Sasa dunia ya Leo bado unaweka wateja masaa 3 Kwa kigezo gani?
Mbona wenzao Absa, DTB na NBC hawana umburula huu
 
Back
Top Bottom