NMB wakala kwa njia ya simu ya Mkononi

NMB wakala kwa njia ya simu ya Mkononi

Rurakha

Senior Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
122
Reaction score
224
Habari za leo
Hivi karibuni kumetokea wimbi la uchache wa machine za NMB kwa mawakala hivyo baadhi ya mawakala walilazimika kutumia NMB via Selcom

Lakini kutokana na changamoto kati ya NMB na selcom hii huduma imesitishwa hivyo NMB wakaja na huduma mpya ya kutoa huduma kwa kutumia simu yako mkononi yaani smartphone
Unaenda NMB unafungua float Account

Kwa yoyote ambae ameshatumia huduma hii tunaomba atupe uzoefu
Nawasilisha
 
Habari za leo
Hivi karibuni kumetokea wimbi la uchache wa machine za NMB kwa mawakala hivyo baadhi ya mawakala walilazimika kutumia NMB via Selcom

Lakini kutokana na changamoto kati ya NMB na selcom hii huduma imesitishwa hivyo NMB wakaja na huduma mpya ya kutoa huduma kwa kutumia simu yako mkononi yaani smartphone
Unaenda NMB unafungua float Account

Kwa yoyote ambae ameshatumia huduma hii tunaomba atupe uzoefu
Nawasilisha
Vigezo vya kuunganishwa n vip??
 
  • Unahitaji kuwa na mtaji wa kazi wa kuanzia Tsh milioni 2 au zaidi ambayo haitapungua kwa muda wote wa uwakala na ada ya uwakala ya Tsh 200,000 isiyorudishwa baada ya wakala kuidhinishwa na kusaini mkataba.
Rurakha naomba kujua hichi kigezo kipo katika huduma hii mpya ya nmb wakala kwa njia ya mtandao
 
Back
Top Bottom