Best Anko
JF-Expert Member
- Sep 5, 2019
- 409
- 778
Ndo mana Kenya ukabila hauishi.wezetu kenya wanajitahidi kuhifadhi lugha zao , mfano wana hadi tv kama vile inooro, na kameme zenyewe hazitangazi kwa kiswahili wala kiingereza, bali kwa lugha asilia, ila nasikia hapa tanzania ukifanya hivyo hupewi leseni ya utangazaji