Ndo mana Kenya ukabila hauishi.wezetu kenya wanajitahidi kuhifadhi lugha zao , mfano wana hadi tv kama vile inooro, na kameme zenyewe hazitangazi kwa kiswahili wala kiingereza, bali kwa lugha asilia, ila nasikia hapa tanzania ukifanya hivyo hupewi leseni ya utangazaji
Tanzania tuna makabila zaidi ya 120 itakuwa hatari kufananisha na Kenya wenye makabila 2wezetu kenya wanajitahidi kuhifadhi lugha zao , mfano wana hadi tv kama vile inooro, na kameme zenyewe hazitangazi kwa kiswahili wala kiingereza, bali kwa lugha asilia, ila nasikia hapa tanzania ukifanya hivyo hupewi leseni ya utangazaji
Huo ukabila Kenya huoni unavyo waumiza kwenye siasa?wezetu kenya wanajitahidi kuhifadhi lugha zao , mfano wana hadi tv kama vile inooro, na kameme zenyewe hazitangazi kwa kiswahili wala kiingereza, bali kwa lugha asilia, ila nasikia hapa tanzania ukifanya hivyo hupewi leseni ya utangazaji
Tanzania tuna makabila zaidi ya 120 itakuwa hatari kufananisha na Kenya wenye makabila 2
[emoji23][emoji23] Huyu Mkurugenzi lazima apatiwa fungu kidogo na Billionaire Laizer
DuuWenzetu Kenya wanajitahidi kuhifadhi lugha zao , mfano wana hadi tv kama vile inooro, na kameme zenyewe hazitangazi kwa kiswahili wala kiingereza, bali kwa lugha asilia, ila nasikia hapa tanzania ukifanya hivyo hupewi leseni ya utangazaji
Kuna possibility kubwa pengine ameshazihifadhi kwenye hiyo benki.Ndo lengo kubwa maana Mabank wataanza oohh njoo tukupe namna ya kutumia ela ..na anayekwambia hivo kwa mwezi analipwa 500000 na anataka kukushauri namna ya kutumia BIL
Wanakwambia mkono mtupu haulambwi....Kuna possibility kubwa pengine ameshazihifadhi kwenye hiyo benki.
Mbona sie wengne tuna makabila yetu lakini barua hawaandiki kwa kilugha chetuKuna possibility kubwa pengine ameshazihifadhi kwenye hiyo benki.
Barua za mikopo tu utasikia yes no yes no ...shenzi kabisa..wangekuwa wanatupenda wateja wa chini wangeweka lugha zote humo kwenye mabarua yaoKuna possibility kubwa pengine ameshazihifadhi kwenye hiyo benki.