NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama

Huyu Zaipuna atakuwa ni mtoto wa Zulungu.
 
Ujue tu kuwa sio lazima Serikali kuwa na akaunti NMB,

NMB wanajua kuhudumia wateja wao vizuri
 
Hii rekodi ya huyu Mama itunzwe vizuri , Tanzania kwa sasa inahitaji watu wa aina yake tu
 
Hii rekodi ya huyu Mama itunzwe vizuri , Tanzania kwa sasa inahitaji watu wa aina yake tu
 
Upo sahihi, ndiyo maana tukitaka kujenga infrastructure tunaenda kukopa nje...vibenki vyetu ni kwa ajili ya kukopesha vibiashara vidogo vidogo vya ndani !
 
Tatizo siasa mbovu za nchi hii hazitoi mwanya kwa watu creative kuonyesha umaridadi wao kwenye serikali , serikali hii iliyojaa vilaza na wachawi ,hao watu creative wataishia kupigwa fitna tu na kulogwa
Serikali duniani kote huongozwa kwa urasimu na fitina za kisiasa...siyo Africa tu hata ulaya na marekani tofauti ni viwango vya huo urasimu na hizo fitina!

Watu creative can never survive kwenye urasimu na fitina na ndiyo utaona hata huko duniani creative people wako kwenye private sector zaidi kuliko serikalini!
 
Upo sahihi, hiyo ni benki ya serikali kupitishia miamala yake...they got nothing special kwa wasaga lami huku kitaa!
 
Wizi wa riba kwenye mikopo mnadai Faida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…