NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama

Kuna haja ya kuthamini vya ndani huu ni mfano mzuri, Vodacom and team habari hii iwafikie
 
Posta bank iko wapi? Maana ina wafanyakazi takataka kabisa, crdb inaharibiwa na vijana walipewa madaraka loan officers wa CRDB hopeless sana, nifanye maombi ya mkopo crdb na NMB nilkamilisha taratibu za kuomba mkopo CRDB mapema kuliko NMB siku 4 tofauti NMB wakanipa kabla ya Crdb wiki moja mbele, nikawaambia sitaki tena mmechelewa kunipa mkopo wenu
 
NMB ni kubwa kwa maana ya ukubwa katika Kila idara.
 
Sio vema kuwaita wafanyakazi wa kampuni kubwa kama TPB kuwa ni takataka
 
Mie kanichosha kabisa
Alipolinganisha eti na ana mafanikio kama
Samia na Tulia Spika! Hivi huwa hasomi mijadala ya kufeli kwa hao watu katika kuongoza taasisi walizo pewa kuongoza?
Hebu arudi na kufanya masahihisho maana kwa hilo hajamsifu bali amemchafua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…