NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama

Uwongo pro max, serikali inalipa popote hata ukiwa na akaunt bank ya Amana
We zwazwa njoo kijijini uone, watu wa bank wanaongea na hizo taasisi(hasa wahasibu) wanakwambia malipo yako lazima yapitie NMB au kama unatumia CRDB cheque ni ya NMB(wanakwambia taasisi ina account NMB pekee) gharama za kuhamishia CRDB ni za kwako, hapo sasa unadai 2M gharama za transfer ni zaidi ya elf 10(mind you na transfer ni 72Hrs within working days).
 
Huyu kama atakubali Rais amteue na akapewe kitengo kule Mwigulu kashindwa,

Tanzania inahitaji watu waelevu na waadilifu sana.
 
Ni kweli kabisa Kimei kule bungeni na jimboni kapotezwa mazima...
 
Ongezea na NMB MPANDA, KATAVI ni shidaa...
 
Barua tuu 59,000/=???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…